Ukimukuta muchafu mfulie na safisha ndani
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787], mimi siyo mutu ya congo. Mimi Tanzania kabisa. Umetumia kigezo gani kuniweka katika kundi la wakongo?. Marianah mimi originaly [emoji1241][emoji1241][emoji1241][emoji1241][emoji1241]We ni mcongo mkuu??
Sasa huyo achana nae kazidi sanaNyumba ya mtu inanuka mpaka ukitok ndani mwake unatoka na hyo harufu, inakukaa hata siku mbili kisa tu ulikaa kwenye kochi
🤣🤣🤣🤣🤣 sasa we sindio demu wake ulitakiwa umfulie na kudeki sio kuja kulalamika humu. Nachukia wanawake walalamishi kinoma.Nilivumilia soksi nikaona anauvivu kwenda geto tu kusalimia dah ni ishu ingine kama unaingia jalalani.
Hii ni zaidi ya treni ya mumbai 🤣🤣🤣 kongole zako mwanawaneKumbe hujui na tokea 21 mpaka nao nina wanaume 21,645,2345
Mpaka sasa na 26 je wewe
HahahahaNyumba ya mtu inanuka mpaka ukitok ndani mwake unatoka na hyo harufu, inakukaa hata siku mbili kisa tu ulikaa kwenye kochi
Ushauri mzuri..il UKIMPENDA utambadili as "uchafu wake ni wako pia"Jamani kuna wanaume wachafu sana .
Nakumbuka nilikuwa na boyfriend wangu mmoja hivi.
Huyo kaka ni mchafu kuanzia juu mpaka chini mpaka na geto aliloko.
A)boxer jamani ni chafu mpaka basi hanyoi kabisa huko yaani mpaka akiivua inatoa vumbi.
Sasa inanuka mpaka aa huitaji kuinusa akikaa hivi kama harufu ya pilau la nyama linaloiva .
Inanuka sana .
Halafu fulana unakuta ni kanunua nyeupe ila imekuwa brown kwa uchafu.
B)VIATU
jamani wadau viatu ni vinanuka mpaka watu wakaribu wanamuhama .
Je hizo soksi akizivua jamani utaomba ufe kwanza ndio ukae hapo karibu yake.
C)nyumba niliendaga kwake hata dirisha hafungui kuna uvundo wa hatari ukikaa kwenye kochi au ukikaa kwenyw kitanda ni vumbi yaani ukifunua shuka na godoro ni jeusi yaani kama mkaa.
Maforonya ni meusi katupa vitu vinanata jamani huu ni uchafu eti.
Wanaume jamani wenye hizi tabia sio nzuri maana mwenzenu tulimlewwaha ndio akasafishwa huko pakae vyema nihistoria jamani kuwa mchafu nayo ni kipaji.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787], mimi siyo mutu ya congo. Mimi Tanzania kabisa. Umetumia kigezo gani kuniweka katika kundi la wakongo?. Marianah mimi originaly [emoji1241][emoji1241][emoji1241][emoji1241][emoji1241]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] sasa we sindio demu wake ulitakiwa umfulie na kudeki sio kuja kulalamika humu. Nachukia wanawake walalamishi kinoma.
Unaandika "ukimukuta muchafu" badala ya "ukimkuta mchafu" sasa hicho ulichoandika wewe ni kiswahili cha wapi kama siyo cha congo mkuu?
We msukumaUnakifahamu kiswahili cha kisukuma?
Wewe kwangu umejiwekea ratiba gani hadi mimi nijiwekee ratiba ya kufanya usafi kwakoUnashindwa kujiwekea ratiba ya kwenda fanya usafi kwa mpenzi wako umekaa hapo kumfungulia thread...Sawa huwezi kwenda mfanyia usafi kisa hajakuoa..Basi achana na maisha yake ya uchafu..Akikuoa atabadilika atakua msafi.