Nawachukia wanaume wachafu

Nawachukia wanaume wachafu

Acha kupindisha maneno, sema boyfriend wako ndio mchafu, sio wanaume.
 
ni shida kwa kweli harufu za jamaa yako na harufu ya papuchi yako vikichanganyikana mnatengeneza dampo la vingunguti mtaani kwenu
 
Nilivumilia soksi nikaona anauvivu kwenda geto tu kusalimia dah ni ishu ingine kama unaingia jalalani.
🤣🤣🤣🤣🤣 sasa we sindio demu wake ulitakiwa umfulie na kudeki sio kuja kulalamika humu. Nachukia wanawake walalamishi kinoma.
 
alitimiza alichoambiwa
[emoji116]
IMG_20190802_232130.jpeg
 
MIMI SIAMINI KAMA HIVYO VYOTE ULIVYOSEMA NI KWELI,LAZIMA KUNA JINSI HAPO UMETIA CHUMVI.
 
Jamani kuna wanaume wachafu sana .
Nakumbuka nilikuwa na boyfriend wangu mmoja hivi.

Huyo kaka ni mchafu kuanzia juu mpaka chini mpaka na geto aliloko.

A)boxer jamani ni chafu mpaka basi hanyoi kabisa huko yaani mpaka akiivua inatoa vumbi.

Sasa inanuka mpaka aa huitaji kuinusa akikaa hivi kama harufu ya pilau la nyama linaloiva .

Inanuka sana .
Halafu fulana unakuta ni kanunua nyeupe ila imekuwa brown kwa uchafu.
B)VIATU

jamani wadau viatu ni vinanuka mpaka watu wakaribu wanamuhama .

Je hizo soksi akizivua jamani utaomba ufe kwanza ndio ukae hapo karibu yake.

C)nyumba niliendaga kwake hata dirisha hafungui kuna uvundo wa hatari ukikaa kwenye kochi au ukikaa kwenyw kitanda ni vumbi yaani ukifunua shuka na godoro ni jeusi yaani kama mkaa.

Maforonya ni meusi katupa vitu vinanata jamani huu ni uchafu eti.

Wanaume jamani wenye hizi tabia sio nzuri maana mwenzenu tulimlewwaha ndio akasafishwa huko pakae vyema nihistoria jamani kuwa mchafu nayo ni kipaji.
Ushauri mzuri..il UKIMPENDA utambadili as "uchafu wake ni wako pia"
 
Unaandika "ukimukuta muchafu" badala ya "ukimkuta mchafu" sasa hicho ulichoandika wewe ni kiswahili cha wapi kama siyo cha congo mkuu?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787], mimi siyo mutu ya congo. Mimi Tanzania kabisa. Umetumia kigezo gani kuniweka katika kundi la wakongo?. Marianah mimi originaly [emoji1241][emoji1241][emoji1241][emoji1241][emoji1241]
 
Mkisema hivi basi kila mwanaume atajifanya mchafu ili mwanamke wake amsafishe ptuu acheni uchafu huko hovyoo
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] sasa we sindio demu wake ulitakiwa umfulie na kudeki sio kuja kulalamika humu. Nachukia wanawake walalamishi kinoma.
 
Unashindwa kujiwekea ratiba ya kwenda fanya usafi kwa mpenzi wako umekaa hapo kumfungulia thread...Sawa huwezi kwenda mfanyia usafi kisa hajakuoa..Basi achana na maisha yake ya uchafu..Akikuoa atabadilika atakua msafi.
 
Unashindwa kujiwekea ratiba ya kwenda fanya usafi kwa mpenzi wako umekaa hapo kumfungulia thread...Sawa huwezi kwenda mfanyia usafi kisa hajakuoa..Basi achana na maisha yake ya uchafu..Akikuoa atabadilika atakua msafi.
Wewe kwangu umejiwekea ratiba gani hadi mimi nijiwekee ratiba ya kufanya usafi kwako
 
Back
Top Bottom