Duh kagonga ikulu!Kumuelewa huyo Mwanasiasa ni ngumu, yeye kaamanisha ukipata hicho Ki Ist chako unaona maisha umeyapatia mengine hayakuhusu, Mbowe kuitwa gaidi wew haikuhusu, CCM kuongeza tozo wewe haikuhusu, kumbakia watu kesi wew haikuhusu, unajiona wewe ni tajiri tayari, kumbe ni maskini mwenye nafuu tu.
Chit chat bossKwa kuwa we unaona ist ni KITU kidogo SANA kwako, kwangu na kwa wengine ni kutu kikubwa mno tunachojivunia ni kukipenda haswa na hatupendezwi na dharau za wale wenye BMW za mitumba kutuzodoa. Enewei hapa ni chitchat
Kuna bodaboda ashanitukana hivyo hivyo...gari yako yenyewe (gx100) haifikii bei ya bodaboda yangu! Nikacheka Sana Hadi akanishangaa.
Nawakumbusha tu kuwa, ukinywa maji ya chupa, usione anaye kunywa maji ya mto ni mjinga!Kuna mwanasiasa kasema mkishanunua IST na VItz na kuanza kuvaa kaptura fupi weekend mnajiona mmepatia sana maisha, mnajihisi ni middle class kumbe ni masikini wenye nafuu! Mjumbe hauwawi, weekend njema!
IST ni kifaa....
Haswaaa...Kuliko fisadi na mkwepa kodi..mfyuuuuuu..hao wabunge nini wanaringia kama sio kodi zetu...hivi kama na wao wangekuwa wanalipa kodi tunazolipa wananchi ...wanafikiri jeuri ya kuendesha v8 ingekuwepo? Siku zinahesabika..watarudi tu mtaani tubanane kwenye mwendo kasi.....Afadhali kuwa maskini mwenye nafuu!
πππ dah, ila IST zimezidi jamani duhKuna mwanasiasa kasema mkishanunua IST na VItz na kuanza kuvaa kaptura fupi weekend mnajiona mmepatia sana maisha, mnajihisi ni middle class kumbe ni masikini wenye nafuu! Mjumbe hauwawi, weekend njema!
Hapo kwenye maskini mwenye nafuuKuna mwanasiasa kasema mkishanunua IST na VItz na kuanza kuvaa kaptura fupi weekend mnajiona mmepatia sana maisha, mnajihisi ni middle class kumbe ni masikini wenye nafuu! Mjumbe hauwawi, weekend njema!
haya wanakuja kujibuKuna mwanasiasa kasema mkishanunua IST na VItz na kuanza kuvaa kaptura fupi weekend mnajiona mmepatia sana maisha, mnajihisi ni middle class kumbe ni masikini wenye nafuu! Mjumbe hauwawi, weekend njema!
wanavaa night dress ili wakiaga wake zao ionekane hawaendi mbali...Kuna mwanasiasa kasema mkishanunua IST na VItz na kuanza kuvaa kaptura fupi weekend mnajiona mmepatia sana maisha, mnajihisi ni middle class kumbe ni masikini wenye nafuu! Mjumbe hauwawi, weekend njema!
Mkuu tuacheWanavaa tishirt za jezi au formsix wakishapiga na kaptura zile za draftidrafti au zile kaptura za pocket pembeni, kuta wanavaa visendoz na soksi na miwani juu, walipokaa vingereza vingi utahisi mipango ya kweli kumbe ni swaga tu hua nacheka sana
Aisee!wanavaa night dress ili wakiaga wake zao ionekane hawaendi mbali...
dume kubwa mapumbuu makubwa unaendesha IST je ukiyakalia utamlaumu nani??!!halafu unakuta linakupigia honi kwenye mataa ukiwa ndani land cruiser long base fabricated body abuse for africa!!bullshiiitin