Nawafikishieni Ujumbe Mnaoendesha IST na Vitz

Kuna mwanasiasa kasema mkishanunua IST na VItz na kuanza kuvaa kaptura fupi weekend mnajiona mmepatia sana maisha, mnajihisi ni middle class kumbe ni masikini wenye nafuu! Mjumbe hauwawi, weekend njema!
Mwambie aje alipe madeni ya mabenki kwanza ndiyo aongee.
 
Acha kabisa
 
Kuna Kuna mmoja huyo anatimua vumbi balaa na taa 'amezimeremetesha' ni vujo Tu.
Huwa nazikubali Sana IST hata ivyo
 
..... siasa za CHADEMA hizo....

.......hao ndio NGULI wa siasa za CHADEMA.....

......SIASA ZA "TUG OF WAR....

#HakunaNamnaKaziIendeleeTu
 
Kuna mwanasiasa kasema mkishanunua IST na VItz na kuanza kuvaa kaptura fupi weekend mnajiona mmepatia sana maisha, mnajihisi ni middle class kumbe ni masikini wenye nafuu! Mjumbe hauwawi, weekend njema!

Hahahaaa kuna jamaa ni TISS yaani yeye akija hata bar kunywa gari yake aizimi anaacha inaunguruma mpaka amalinze kunywa au kula! Huwa najiuliza kama anaiga viongozi wa serikali wanavyofanya kwenye mafuta ya bure ina maana akiwa nyumbani kwake gari nayo haizimi au mwembewe/showoff?
 


Ukinunua viatu vizuri ukaweka kwenye kabati kisha ukavaa ndala miba na vyupa vitakuchoma tu bila kujali una viatu nyumbani.
 
Mwanaume above 30 years kuendesha IST ni unajisi. Hiyo ni gari ya kuhonga. Makonda was very right.
 
Kuna mwanasiasa kasema mkishanunua IST na VItz na kuanza kuvaa kaptura fupi weekend mnajiona mmepatia sana maisha, mnajihisi ni middle class kumbe ni masikini wenye nafuu! Mjumbe hauwawi, weekend njema!
Vipi kuhusu kushika smartphones mbilimbili na kuning'iniza funguo kwenye luksi naona hujalizungumzia ndugu mleta mada
 
Kuna siku sijui nilikuwa nawaza wapi nikajikuta nimefunga mlango kwa nguvu kidogo
Nikasikia “sister hili siyo grili polepole tu unafungika”

[emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wabamiza milango mnazingua.
 

Punguzeni vurugu bwana

Mbona sisi na passo zetu barabarani tumetulia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…