Albinoomweusi
JF-Expert Member
- Oct 28, 2016
- 3,433
- 8,585
Napenda kutumia nafasi hii kuwahamisisha wapenzi, mashabiki, na wanachama wa SIMBA SC Kufika katika tawi lolote na Equity Bank Kuchukua kadi za mashabiki ambazo itawezesha club yetu kupata mapato mengi kupitia sisi mashabiki
Hebu chukua mfano iwapo mashabiki milioni 5 nchi nzima watachukua kadi hizi kila mtu mmoja ataichangia klabu sh 12000 ukipiga hesabu ni pesa nyingi sana
na kila utakapotumia kadi hii kununua luku au kulipia mtandaoni kama ebay na aliexpress au utakaponunua vocha za mitandao au kuhamisha pesa kwenda mitandao ya simu au bank zingine club yetu itakuwa inapata 50% ya makato .ni mamilioni kwa siku ambayo yataifanya club kujiendesha kwa weledi
shime tukachukue kadi
Sent using Jamii Forums mobile app
Hebu chukua mfano iwapo mashabiki milioni 5 nchi nzima watachukua kadi hizi kila mtu mmoja ataichangia klabu sh 12000 ukipiga hesabu ni pesa nyingi sana
na kila utakapotumia kadi hii kununua luku au kulipia mtandaoni kama ebay na aliexpress au utakaponunua vocha za mitandao au kuhamisha pesa kwenda mitandao ya simu au bank zingine club yetu itakuwa inapata 50% ya makato .ni mamilioni kwa siku ambayo yataifanya club kujiendesha kwa weledi
shime tukachukue kadi
Sent using Jamii Forums mobile app