Kwa hasira kuu, huu uchawa pro-max ukome, ni kodi zetu, siyo lazima kila mradi upewe jina la viongozi, wengine ni nuksi tu watasumbua generation zijazo, wengine majina yao hayana swagger, ya-kishamba sana, basi tafrani tu. nchi imejaa majina ya wanasiasa kila kona. TUMECHOKA
Chungu lakini ndiyo dawa.