Nawakaribisha kuunda secret society kama Freemasons

Mpango mzima ungezungumzia japo kwa maneno matano kusu kifo mana hapo ndo panapoumiza vchwa pipo ila suala la mafanikio ya mali hlo jepesi mana suala la jamii za sir si gen masikion mwa watu mida hii mf juz 2mezika mtu wa path society ila kisanga kilianza bada ya mamake kulia makaburin mana jamaa walimuwakia kwa kauli za utata kuwa jamaa hajafa ila amerealize tu hiyo stage ambayo pia angeweza kutemana na hyo stage kitambo mana wapo walioamua kuiacha hiyo hatua kitambo kwa kuwa bado hawakumaliza project zao mbalimbali mfano za uzaz,kujenga nchi nk hivyo basi hamna kulia ila huyo mtu wanayemlilia kama kufa kashakufa muda tu isipokuwa wiki tuliyomzika ndo ilikuwa rasmi kwake kwenda mchangani
 
Ikaja hatua ya ushairi mana hakuna kusali kwa hao jamaa si ndo kuhani wao akauliza nani mwengine kafa wakanyoosha mikono kama jamaa watano hivi kwa wahudhuriaji wakaombwa waende wakaulize maswali kwa hao juu ya mpango mzima unaoendelea kaburini,kwan kuna mtu hata alienda nikaona live kama kujiziuka wapo walojiziuka xo jipange jamii za siri zina nambo ya ajabu jembe
 

Ndo mana pesa wameweka mbele wakati wengine tunaumizwa na kifo bengu kitu gani wangu hata masikini anaweza pata raha pasi na kula bats
 
Mafioso, red giant na mshinyanga add me pliz. Ila tubadili lugha za secret society na pamoja brotherhood . Mwanva zona ukakasi. Ni main I yangu wakuu.
 
1. asiamini katika kuajiriwa na kama ameajiriwa awe anaonyesha jitihada zinazoonekana kujitoa huko. aamini kuajiriwa ni utumwa na binadamu hakuumbwa kuishi kwa kuajiriwa na imani hii isitokane na yeye kukosa ajira.

duhhhh mkuu hii point yako imeniacha njee kidogo.
sasaaaa dahhhh kama kila mtu anataka kuwa "BOSS"
nani atafanya kazi?

unapoajiriwa ndipo unapojifunza moja mbili, tatu kuhusu biashara
au jinsi kazi zinavyoenda . hata kama hupendi kazi yako bado kuna
kitu utajifunza..

Anyway niwatakie kila lakheri.
 


+79241267978.
Niunge kwa hii namba pls
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…