Nawakaribisheni Marafiki zangu msosi ndio huo hapa mezani karibuni wote

Nawakaribisheni Marafiki zangu msosi ndio huo hapa mezani karibuni wote

Herbalist Dr MziziMkavu

JF-Expert Member
Joined
Feb 3, 2009
Posts
42,872
Reaction score
34,363
10688424_10204325553078044_5545952042615443441_o.jpg


Mama Mkwe wangu farkhina karibu namchumba wangu uje nae tupate kula vyakula tena hivyo karibuni wote. kaka BAK, mkuu kabanga mkuu TUKUTUKU bibie King'asti Mwalimu wangu gfsonwin rafiki kipenzi afrodent karibuni jamani tupate kula
 
Last edited by a moderator:
10628127_10204325553478054_7313575981429600216_n.jpg


1669684_10204325554678084_1255008575099199750_o.jpg


MWENYE MACHO HAAMBIWI TAZAMA KARIBUNI KAZI KWENU MUNASEMAJE MSOSI WA LEO NI WA NGUVU SANA HUO.
 

Attachments

  • chakula.jpg
    chakula.jpg
    92.2 KB · Views: 903
  • msosi.jpg
    msosi.jpg
    88.3 KB · Views: 801
  • fanta.jpg
    fanta.jpg
    64.3 KB · Views: 677
10628127_10204325553478054_7313575981429600216_n.jpg



Huyo alievaa juu mistari rangi nyekundu na nyeupe ni binti yetu?
 
Una hatari weye ya kututamanisha mahanjumati. Nimeona ni wapi la kuanzia na kumalizia. Naomba sahani yangu tafadhali ili nianze kupakua.
 
Aahh... Wacha nikatelezeshe matonge kwa mlenda bamia... Ugali mlenda wangu na maji safi nalala.. Nisimuige tembo nikachanika pakunyea bure..
 
Back
Top Bottom