Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,872
- 34,363
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo unajipakulia wewe mwenywe sahani zipo zitakuja baadae kwanza ninawakaribisha wageni.Asante MziziMkavu!Sahani ziwapi?
Hapo unajipakulia wewe mwenywe sahani zipo zitakuja baadae kwanza ninawakaribisha wageni.
Na wewe pia mgeni mmoja wapo karibu ukaribie gorgeousmimiHaya tunawasubiri wageni rasmi!!
Karibu mkuu Bujibuji uwezo wako wa kula hapo.MziziMkavu mwenzio utanipasua koo kwa kuelemewa na mate ya uchu
Supu ya pweza inaliwa wakati wa asubuhi au usiku kwa kazi maalumu ya kitandani supu ya pweza haiji hapo mkuu kabugiraMziziMkavu mbona supu ya pweza haipo?
Wenzio twala hivyo kila siku.