Nawakaribisheni Marafiki zangu msosi ndio huo hapa mezani karibuni wote

Nawakaribisheni Marafiki zangu msosi ndio huo hapa mezani karibuni wote

Leo napiga punyeto ya chakula... Nakula ugali mlenda huku nikivutia picha mahanjumati hayo.. Hadi nashiba.
 
10628127_10204325553478054_7313575981429600216_n.jpg



Huyo alievaa juu mistari rangi nyekundu na nyeupe ni binti yetu?

hata mi nimemwona hapo kacheza pc games mpaka macho yanamuuma halafu ndio mda wa msosi daa hapo mezani kweli balanced diet.
 
hata mi nimemwona hapo kacheza pc games mpaka macho yanamuuma halafu ndio mda wa msosi daa hapo mezani kweli balanced diet.
Mahsusi kwa mwaliko hiyo.

Mlo wa nyumbani na familia hauwezi kuwa mwingi hivi
 
Nimesalimika Best, thanks for asking, hiyo picha ya huyo anayeruka kwenye hayo maji machafu imenishangaza.

Si unajua kuna watu wamedata.

Huyo kaona bahari hadi home kwao, afanyeje. Kaamua apige makachu hapo hapo. Lol.

Ila Znz hali mbaya. Mvua tangia jana.
 
Poleni sana, hopefully haitaleta mafuriko.

Si unajua kuna watu wamedata.

Huyo kaona bahari hadi home kwao, afanyeje. Kaamua apige makachu hapo hapo. Lol.

Ila Znz hali mbaya. Mvua tangia jana.
 
Back
Top Bottom