Nawakaribisheni Marafiki zangu msosi ndio huo hapa mezani karibuni wote





MWENYE MACHO HAAMBIWI TAZAMA KARIBUNI KAZI KWENU MUNASEMAJE MSOSI WA LEO NI WA NGUVU SANA HUO.
 

Attachments

  • chakula.jpg
    92.2 KB · Views: 903
  • msosi.jpg
    88.3 KB · Views: 801
  • fanta.jpg
    64.3 KB · Views: 677



Huyo alievaa juu mistari rangi nyekundu na nyeupe ni binti yetu?
 
Una hatari weye ya kututamanisha mahanjumati. Nimeona ni wapi la kuanzia na kumalizia. Naomba sahani yangu tafadhali ili nianze kupakua.
 
Aahh... Wacha nikatelezeshe matonge kwa mlenda bamia... Ugali mlenda wangu na maji safi nalala.. Nisimuige tembo nikachanika pakunyea bure..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…