Nawakubali sana akinadada wa Singida, Mtwara/Lindi na Tanga

Akina dada wote TZ wanakubalika, huo ni mtazamo wako tu pia ni ubaguzi wa kikabila.
Ngoja nikueleze kitu ndugu, Mkoa atokako mtu patabaki kuwa mkoa tu,Kabila la mtu litabaki kuwa kabila tu na Tabia ya mtu itabaki kuwa hivyo.
Tambua ya kuwa Dada mzuri ni yule mwenye hekima na maadili mema si vinginevyo!!!!!!!!!!
 
Nalo wazo mkuu.
 

du alikuwa hafanyi! walikuwa wanakusaidia wenzio.
 
Sasa mbona mnanichanganya nilikuwa mbioni kuoa singida, sas nitaoa mkurya.
 
(Ulimakafu;gumi unaziweza?)


Waulize Wakurya ni ngumi zipi? hata wewe utaziweza kama upo energetic
 
Jamani watu mnangaika sana! Fanyeni hima kupata toto la kimasai ila asiwe mzawa wa town bali kijijiniii... Utafurahi mwenyewe. Kikubwa ni heshima, usikivu na wanatambua thamani ya mwanaume na ndoa kwa ujumla. Mengine mambo ya unyumba ni mambo ya kujadiliana na kufunzana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…