Nawakubali sana akinadada wa Singida, Mtwara/Lindi na Tanga

Nasikia wanajua kuandaa mtindi tu.
 
wewe mwenyewe unatoka wpi nawe tukupe vyako!!
 
tatizo hawana uchoyo na mtu, hugawa kama njugu hiyo ni sifa mojawapo ninayoijua wanayo, pia hawana uaminifu hata chembe, vile vile mara nyingi wakikusaliti wala hawangaiki kwenda mbali yaani atazunguka kwa rafiki zako wa karibu muda mwingine hata ndugu zako kuwa makini, lakini sana sana wanapendaga sana mafundi cherehani, mafundi viatu, wauza maji, wauza samaki na wtu wajihusisha na sanaa ya muziki, taarabu, chakachaka, mchiriki, vanga, mkotengoma, mdumange n.k wengi wao wana fake love
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…