Nawakubali Sana matapeli wa Aina hii.

We jinsia gani?
 
Umeongelea kupigwa makofi polisi, umenikumbusha kuna mzee aliokota fuko la hela akapeleka polisi nae alipigwa makofi[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Guten tag Qeen aus Pasau
Sent using Jamii Forums mobile app
 
usikute wewe ndiyo tapeli

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Lugha sasa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kampuni ya kupekeka wanafunzi UNIVERSTIS ABROAD ya tony kabethi anawapiga sana wazazi wanadhulimiwa kila kipindi kwa tuishein fees feki jamaa ni hatari sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mambo ya cheque siku hzi hakuna ilikuwa zamani
Kipindi cha nyuma Kuna wajaluo fulani ilikuwa ndy mchongo wao, wanandaa cheque wanatafuta watu mnapangana mkiafikiana unapewa cheque unaenda nayo bank... Ukitusua
Unapewa mgao..... Ukinganganiwa huo msala wako..... Wale Watoto mjini lazima wamefanya hyo

Ova

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Frank jamaa alikuwa na uwezo sana wa kuishi kwa akili kihalifu, ukitazama makala zake unavutika kutoacha kuona visa vyake
 
This is too good to be true.... Hii chai iliyokolezwa chumvi.

Benki hawawezi kulipa pesa hizo bila cheque list na pia ku-confirm kwa cheque issuer kwa njia ya simu namaanisha kuhakiki kwa kupiga simu kwa mlipaji

Labda hili liwe lilitokea enzi zile za akina kasusura au Simbaulanga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…