Nawakubali Sana matapeli wa Aina hii.

Nawakubali Sana matapeli wa Aina hii.

Kiukweli napenda Sana kuona binadamu anatumia akili kubwa kuingiza hela kubwa. Nachukizwa Sana na vibaka na wezi wadogo wadogo ambao wanaambulia makofi na vipigo hevi vya mtaa mzima kisa wameiba Bata au kuku.

Kuna tapeli mmoja hivi karibuni alitapeli zaidi ya million 50 kwa kuiclone Bank cheque. Ilikuwa hivi yule bwana tapeli alipewa cheki ya malipo ya 500000/= baada ya hapo akaifanyia cloning ile cheque kwa msaada wa computer na sophisticated software and printer akaongeza sifuri mbili ikawa million 50. Then kwa akabadilisha maandishi kwa maneno yakasomeka then same na amount ya million 50 ya tarakimu, Akaenda benki akatoa milion zake hamsini akasepa. Kampuni ikagundua zimepigwa milion 50 it was too late.

Hawa ni Aina ya matapeli ambao hata wakifika Polisi hawapigwi makofi pia wananunua supu ya kituo kizima, isitoshe mkuu wa kituo anakaa nao hili ajue Kama wamepiga ile pesa ili amalize kesi coz anajua jamaa wana hela Kiufupi wanaheshimika Sana na Mimi nawaheshimu Sana.

Conmen, scammers heko kwenu. Wewe utapeli gani smart unaukubali?

Sent using Jamii Forums mobile app


Huwezi iba kijinga hivyo sikuhizi.
Unless umeshirikiana na mtumishi w ahiyo kampuni.
 
Ndio wale waliofukuzwa UDSM mwezi wa Tisa? Huo mchezo umefanyika sana sana Chuo
Nina mdogo wangu wakike alikuwa anawapiga Sana chuo..analipa ada 70000 akienda kwa muhasibu wanapanga deal risiti inaandikwa laki saba..pesa anazopewa za ada anazibana kiasi kidogo anampa muhasibu.

Ila kilichomkuta Sasa..[emoji16]
Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bana kuna watu walitapeli kama ml 40 hivi hawa majama wanakwambia wanauza dhahabu hu ni utapeli wa tangu miaka ya 2000 uko wanakua na kikundi hadi bosi kabisa gari zuri n.k,wanakuingiza chaka ivo sasa siku wakakamatwa nafikir polis walikamta baadhi ya hela unajua yule alieshtaki aliambiwaje akalete kibali cha kununulia madini kama kweli alinunua hayo madini,mwisho ikaendaa akaambiwa file limepotea hahaaaa haatari

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kiukweli napenda Sana kuona binadamu anatumia akili kubwa kuingiza hela kubwa. Nachukizwa Sana na vibaka na wezi wadogo wadogo ambao wanaambulia makofi na vipigo hevi vya mtaa mzima kisa wameiba Bata au kuku.

Kuna tapeli mmoja hivi karibuni alitapeli zaidi ya million 50 kwa kuiclone Bank cheque. Ilikuwa hivi yule bwana tapeli alipewa cheki ya malipo ya 500000/= baada ya hapo akaifanyia cloning ile cheque kwa msaada wa computer na sophisticated software and printer akaongeza sifuri mbili ikawa million 50. Then kwa akabadilisha maandishi kwa maneno yakasomeka then same na amount ya million 50 ya tarakimu, Akaenda benki akatoa milion zake hamsini akasepa. Kampuni ikagundua zimepigwa milion 50 it was too late.

Hawa ni Aina ya matapeli ambao hata wakifika Polisi hawapigwi makofi pia wananunua supu ya kituo kizima, isitoshe mkuu wa kituo anakaa nao hili ajue Kama wamepiga ile pesa ili amalize kesi coz anajua jamaa wana hela Kiufupi wanaheshimika Sana na Mimi nawaheshimu Sana.

Conmen, scammers heko kwenu. Wewe utapeli gani smart unaukubali?

Sent using Jamii Forums mobile app
Bank kuna comfirmation kumpigia aliekuandikia ,pia kuna check list inatumwa bank..........pia hatuna utaratibu wa cheque za bandia ,na kuna kifaa cha kugundua cheque km ni OG ,ukimulika tu inakuonesha alama kama za hela
Hii nazani sio TZ au ni miaka hio nchi za wenzetu
 
Back
Top Bottom