Nawakubali Viongozi wa CCM Wenye Lugha za kushawishi badala ya Vitisho mfano Dkt. Dotto Biteko (NWM)

Nawakubali Viongozi wa CCM Wenye Lugha za kushawishi badala ya Vitisho mfano Dkt. Dotto Biteko (NWM)

Leo hii nilikuwa napiga stori na mkulungwa mmoja tukamuongelea sana mh.Dr.Dotto Biteko....

Kwa mazuri...

Tulitumia muda mwingi kuongelea "charisma" yake ya JAALA ya mwenyezi Mungu....

NWM ni "genius"...

NWM ni mtu mwema....mwenye moyo mweupe mno....si mnafiki....perfect person....mwenye ahadi na mfuatiliaji mzuri...

NWM kajaaliwa na Allah kwa busara na hekima kuu....

NWM ni MZALENDO....MZALENDO MZALENDO....ni mfano wa kuigwa kwetu vijana haswa wale wenye JICHO LA ROHONI na kuipenda mno Tanzania zaidi ya VYAMA VYAO...

#Nchi Kwanza[emoji2956]
#Mwenyezi Mungu amhifadhi mh.Dotto Biteko , aaaamin aaamin [emoji2956]
2025 Urais unafaa ili aendeleze 4Rs kwa vitendo.
 
Wengi wao wamepata tu darasa la itikadi na siasa hawana elimu ya uongozi na uwajibikaji kwa umma.
 
Back
Top Bottom