Tufanye nini sasaahe he acha tu Dada
No, at 30.Nasikiaga eti "life begins at 40" 😀
Tuisimamishe tu kama wema sepetuTufanye nini sasaa
Hapana aisee kuna umri lazima utamani kuwolewa yaan unatamani kuwa na familia yako ukivuka huo ndio basi tenakaza buti dada yangu mbona utatoboa kama akili yako itakuwa haifikirii mwanaume
Unalowaza Sasa ndiyo sahihiTufanye nini sasaa