Nawakumbusha tu Simba: Kutesa kwa zamu, nasi tulienda Uturuki

gango2

JF-Expert Member
Joined
Aug 31, 2011
Posts
1,956
Reaction score
2,274
Hello simba fans! nataka kuwakumbusha tu kuwa kutesa kwa zamu, leo yenu kesho yetu inakuja. niwakumbushe tu

1. Sisi nasi tulienda huko huku Uturuki tulikaa mwezi mzima


2. Pia nawakumbusha tu, nasisi tulikuwa na makocha kutoka nje hao wadhungu!
3, Nasi tulikuwa na msemaji mropokaji kama nyie,



3. Hivyo basi chondechonde kutesa kwa zamu, leo ninyi kesho sisi! ngoja nasi tupambane na hali zetu, sasa tunawaombea njaa mngejua!
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Zamu yenu ishapita tuacheni sisi tutese
 
Zamu yenu ishapita tuacheni sisi tutese

Yanga na simba ni kama tairi, linazunguka, upande wa juu kesho unakuwa chini, huo huo unakuja kuwa juu!
 
Mushaanza Wivu?

Kesho Saa Moja Usiku Kaeni Karibu na King'amuzi Cha AzamTV mumsikilize Mzee Mwenye Akili Kuliko Wazee Wote Wa Bongo Katika Kipindi Cha Nyundo Ya Barwan Muhuza Akielezea Ukweli Wanaohitajika Kuusikia Wanayanga.
Si Mwengine Bali Ni Mzee Akilimali.
 
Kwahivyo mlitaka na sisi tusiende? Au nyie nani amewakataza msiende
 
Kwahivyo mlitaka na sisi tusiende? Au nyie nani amewakataza msiende
namba tatu kali sana...ila kwa nini msiende nchi nyingine???itakuwa mlikuwa mnaumia sana kipindi kile....jirani yako akinunua Prado ukipata hela kanunue Vogue...sio kugeza kila kitu...na hii itakuwa akili ya Manara..Spain kuko vizuri tena wakati huu joto la kutosha
 
Sasa mlitaka tusitese wakati ni wakati wetu baada ya wenu kupita tunaanza na kuvunja rekodi zenu kwanza ndio tuweke zetu mpya kwahiyo msishangae kwenda uturuki
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…