Nawakumbusha Tu

Nawakumbusha Tu

samael23

JF-Expert Member
Joined
Jun 27, 2017
Posts
327
Reaction score
434
Ukihonga shilingi 10,000
Ni bei ya.......
1. Sato kilo 1
2. Kuku 1 wa nyama
3. Kilo 1.5 za nyama ya ng'ombe
4. Sukari kilo 3
5. Donna kilo 6
6. Mchele super kilo 4
7. Maziwa ya ng'ombe lita 4
8. Soda take away 10
9. Safari 4
10. Petrol lita 4.5
11. Nauli ya safari 14 za mwendokasi
12. Mayai kisasa tray 1
13. Umeme unit 28
14. Mchemsho wa kuku 2
15. Nauli ya Dar Moro na chenji
16.
17.
 
Shilingi ya Kenya au ya wapi? Kama ni ya Tanzania mbona utakuwa unatania! Unahonga hiyo hela halafu anapokea?
 
Back
Top Bottom