moyafricatz
JF-Expert Member
- Nov 27, 2015
- 2,904
- 4,902
*NAWAKUMBUSHA TU!!!*
*Ni bei ya.......*
1. Sato kilo 1
2. Kuku 1 wa nyama
3. Kilo 1.5 za nyama ya ng'ombe
4. Sukari kilo 3
5. Donna kilo 6
6. Mchele super kilo 4
7. Maziwa ya ng'ombe lita 4
8. Soda take away 10
9. Castle lite 4
10. Petrol lita 4.5
11. Nauli ya safari 14 za mwendokasi
12. Mayai kisasa tray 1
13. Umeme unit 28
14. Mchemsho wa kuku 2
15. Nauli ya Dar Moro na chenji
Huu ndio ukweli usiku mwema
*Ni bei ya.......*
1. Sato kilo 1
2. Kuku 1 wa nyama
3. Kilo 1.5 za nyama ya ng'ombe
4. Sukari kilo 3
5. Donna kilo 6
6. Mchele super kilo 4
7. Maziwa ya ng'ombe lita 4
8. Soda take away 10
9. Castle lite 4
10. Petrol lita 4.5
11. Nauli ya safari 14 za mwendokasi
12. Mayai kisasa tray 1
13. Umeme unit 28
14. Mchemsho wa kuku 2
15. Nauli ya Dar Moro na chenji
Huu ndio ukweli usiku mwema