Nawakumbusha Wafuasi wa Tundu Lissu 2015 Mbowe alimleta Lowassa na 2020 akamleta Nyalandu, hatujui 2025 atamleta nani kutoka CCM!

Nawakumbusha Wafuasi wa Tundu Lissu 2015 Mbowe alimleta Lowassa na 2020 akamleta Nyalandu, hatujui 2025 atamleta nani kutoka CCM!

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Binafsi sioni sababu ya Chadema kusitasita kumtangaza Mgombea Urais wa JMT 2025 kwa ticket yao

CCM tayari inajulikana atasimama Mpendwa Wetu Mh Rais Samia

ACT Wazalendo wameshatangaza atagombea Zitto Kabwe

Chadema hawajatangaza ila Tundu Antipas Lisu amejitangaza yeye mwenyewe

Ni hilo tu

Ahsanteni 😂😄
 
Binafsi sioni sababu ya Chadema kusitasita kumtangaza Mgombea Urais wa JMT 2025 kwa ticket yao

CCM tayari inajulikana atasimama Mpendwa Wetu Mh Rais Samia

ACT Wazalendo wameshatangaza atagombea Zitto Kabwe

Chadema hawajatangaza ila Tundu Antipas Lisu amejitangaza yeye mwenyewe

Ni hilo tu

Ahsanteni 😂😄

Ila pilipili usizozila zinakuwasha kweri kweri.

Upo usalama kweli hapo?
 
Vyama vya upinzani kama vina nia ya kuleta mabadiliko ya dhati having haja ya kusimamisha wagombea uraisi zaidi vijikite kwenye kuwania viti vingi kwenye majimbo.
 
Vyama vya upinzani kama vina nia ya kuleta mabadiliko ya dhati having haja ya kusimamisha wagombea uraisi zaidi vijikite kwenye kuwania viti vingi kwenye majimbo.

Bila kuiga format ya Raila bado tupo tupo sana.

Raila style:

1. Wanaotoka chama tawala aina ya Nape au kipara wote karibu.

2. Tujiunge na chama tawala Msigwa style tukawabomolee huko huko kimya kimya.

Tatizo letu ni kusaka u Star.

Tutakomaa sana makamanda, kukunja ngumi na kuzungusha mno, hadi vibiongo!

Yote bila tija.

Cc: imhotep
 
Back
Top Bottom