johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
- Thread starter
-
- #21
Siasa ni Kilimo lilikuwa ni Azimio la IringaMbona mlikuwa mkisema "Siasa ni Kilimo" ni lini tena mmekuja na "Siasa ni fitina" slogan??!π
Mtanishukuru baadae π
Kwani wewe ni mfuasi wa TAL ? πΌKwa kuwashwa pilipili usizozila? Hapo ni big NO!
Kwani wewe ni mfuasi wa TAL ? πΌ
Petro akamwambia Yesu "nitakufuata popote uendapo"Miye ni mfuasi wa Nyerere.
Ipo hatari kubwa kuwa mfuasi wa mtu aliye hai.
Vipi kwa waliokuwa wafuasi wa Msigwa au Joe Biden?
Petro akamwambia Yesu "nitakufuata popote uendapo"
Inakuhusu nini mkuuBinafsi sioni sababu ya Chadema kusitasita kumtangaza Mgombea Urais wa JMT 2025 kwa ticket yao
CCM tayari inajulikana atasimama Mpendwa Wetu Mh Rais Samia
ACT Wazalendo wameshatangaza atagombea Zitto Kabwe
Chadema hawajatangaza ila Tundu Antipas Lisu amejitangaza yeye mwenyewe
Ni hilo tu
Ahsanteni ππ
Halafu Yesu alipofufuka akaagiza " Waambieni Wanafunzi wangu PAMOJA na Petro tukutane Galilaya" πππHalafu akamkana x 3 kabla ya jongwe kutokea Mbeya hajawika.
Hata DC inamuhusu πInakuhusu nini mkuu
Wa kimataifa au mwingine?Hata DC inamuhusu π
πWa kimataifa au mwingine?
.Binafsi sioni sababu ya Chadema kusitasita kumtangaza Mgombea Urais wa JMT 2025 kwa ticket yao
CCM tayari inajulikana atasimama Mpendwa Wetu Mh Rais Samia
ACT Wazalendo wameshatangaza atagombea Zitto Kabwe
Chadema hawajatangaza ila Tundu Antipas Lisu amejitangaza yeye mwenyewe
Ni hilo tu
Ahsanteni ππ
Umesharudi sasa πππ
CCM ina hazina kubwa sana ya wapumbavuBinafsi sioni sababu ya Chadema kusitasita kumtangaza Mgombea Urais wa JMT 2025 kwa ticket yao
CCM tayari inajulikana atasimama Mpendwa Wetu Mh Rais Samia
ACT Wazalendo wameshatangaza atagombea Zitto Kabwe
Chadema hawajatangaza ila Tundu Antipas Lisu amejitangaza yeye mwenyewe
Ni hilo tu
Ahsanteni ππ
Utajua 2025CCM ina hazina kubwa sana ya wapumbavu
Juma Lokole hujui chochote kuhusu Chadema.Utajua 2025
Halafu Yesu alipofufuka akaagiza " Waambieni Wanafunzi wangu PAMOJA na Petro tukutane Galilaya" πππ
Watakuleta ww bila shaka unafaa kuwa raisBinafsi sioni sababu ya Chadema kusitasita kumtangaza Mgombea Urais wa JMT 2025 kwa ticket yao
CCM tayari inajulikana atasimama Mpendwa Wetu Mh Rais Samia
ACT Wazalendo wameshatangaza atagombea Zitto Kabwe
Chadema hawajatangaza ila Tundu Antipas Lisu amejitangaza yeye mwenyewe
Ni hilo tu
Ahsanteni ππ
Wewe subiri uletewe mgombea mzungushe Mikono πΌJuma Lokole hujui chochote kuhusu Chadema.