Nawakumbusha Wana Yanga na wale wote msioipenda Simba

Umeiona hii mtani? Shadeeya:


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Simba ndiyo klabu pekee Tz yenye wachezaji wenye viwango vya kucheza na kutoa ushindani kwa vilabu vikubwa nje ya Tz kwenye michuano mikubwa kwa sasa.
Yanga walikuwa wanawaza wachukue Ubingwa wapande ndege tu,kombe lao LA Africa ni kupanda ndege na kujiita wa kimataifa,hawakuwa wanawaza kingine chochote

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…