kiutaratibu Ada ya mtu mzima ni kama 2000/= na tym haiwezi zidi wiki lakin mkuu unajua hii ndo BONGO hata 20,000/= utatoa.. ukubwa wa hela yako ndo uta refusha/ punguza tym ya kukipata
sahani,kijiko,bakuli,taulo,shuka nyeupe,jembe na panga ni muhimu kwa tuliochaguliwa kusomea cheti chuo cha kilimo pande za Mbalizi paletunaporipot chuoni lazima tuwe na vitu kama vile
1:chet cha kuzaliwa org
2:cheti cha form 4 org
3😛assport size
4:kitambulisho chochote mf: bank,kupiga kula au leseni
5:result slip ya form 6 org
Kama mtu mwenye la kuongezea karibu;
jamani mi sina cheti cha form four kilipata ajali ya moto kwa bahati mbaya vipi hapo watanikubalia?
Je, ulitoa taarifa sehemu husika(necta) na ukapewa statement of results.
pia kuna member 1 wa jf kani PM kasema hivi yeye cheti chake cha kuzaliwa na cha four 4 kimetofautiana kwenye jina kama herufi mbili je watamkubalia kumsajili nawasilisha!
Ohoooo....hata mimi majina yamekuwa tofauti....itafahamika tu
ok!! wengine tayariii
sahani,kijiko,bakuli,taulo,shuka nyeupe,jembe na panga ni muhimu kwa tuliochaguliwa kusomea cheti chuo cha kilimo pande za Mbalizi pale
Anza kutafuta mtu wa kukulipia ada! Loan tushapoteza point!
kila mtu humu ndani anaelewa vizuri uwezo wako wa kufikiri!