- Thread starter
- #21
kiutaratibu Ada ya mtu mzima ni kama 2000/= na tym haiwezi zidi wiki lakin mkuu unajua hii ndo BONGO hata 20,000/= utatoa.. ukubwa wa hela yako ndo uta refusha/ punguza tym ya kukipata
aende na nini ili wamuhudumie? Lakini si kubadilisha tu kwanini wamtoze elfu 20