Yaani mpaka leo akili zenu za ki local kwa hyo kumfunga simba na kuchukua league ndo ukubwa wa team mkifika kimataifa mechi mbili mnarudi kigamboni kuuza Madrid kumbuka al ahly ni team kubwa Africa sio kwa kuchukua league ya ndani mkifanya mchezo mtaganda hapo kwenye 0.5 mpka geita gold itakuja kuwapita.