Hata kwa Waraabu wa Tunisia mlisema hivyo hivyo.Hao waarabu wakiwa kwao nihatari mara 2 nahuwa nakasi sana,leo walikuwa wanapotezapoteza mda tu uwanjani,ngoja muende algeria ndio mtajua hamjui
nani kakwambia watunisia ni waarabu? Waarabu ni wa egypt, morroco, waalgeria na wasudan....hao watunisia nimachotaraHata kwa Waraabu wa Tunisia mlisema hivyo hivyo.
Maaauzauzaa, naona kama mauzauza.Mbona una hasira?
Kuna watu wanacheka saana Yanga Na kusema safari kwisha. Nataka tu niwaambie Yanga sio kama Simba.
Mimi Nina 100% Yanga anakwenda kupindua matokeo ugenini
Kuna uwezekano mkubwa mechi ya round ya pili Algeria Yanga Na USM Alger kwenda mpaka kwenye mapenalti.
Macho Yangu tu naomba Mungu awape uzima wote tutakutana hapa kwenye comment.
Dua la kuku.......Kuna watu wanacheka saana Yanga Na kusema safari kwisha. Nataka tu niwaambie Yanga sio kama Simba.
Mimi Nina 100% Yanga anakwenda kupindua matokeo ugenini
Kuna uwezekano mkubwa mechi ya round ya pili Algeria Yanga Na USM Alger kwenda mpaka kwenye mapenalti.
Macho Yangu tu naomba Mungu awape uzima wote tutakutana hapa kwenye comment.
Unajua mnatakiwa kufunga goli ngapi?
Hapo Simba ya Aljeria itakuwa inakutazama tuWanatakiwa kufunga/kushinda magoli mawili (2)
Hapo Simba ya Aljeria itakuwa inakutazama tu