Nawakumbusha Yanga sio kama Simba

Nawakumbusha Yanga sio kama Simba

kwisha

JF-Expert Member
Joined
Sep 9, 2021
Posts
1,779
Reaction score
4,982
Kuna watu wanacheka saana Yanga Na kusema safari kwisha. Nataka tu niwaambie Yanga sio kama Simba.

Mimi Nina 100% Yanga anakwenda kupindua matokeo ugenini

Kuna uwezekano mkubwa mechi ya round ya pili Algeria Yanga Na USM Alger kwenda mpaka kwenye mapenalti.

Macho Yangu tu naomba Mungu awape uzima wote tutakutana hapa kwenye comment.
 
Kuna watu wanacheka saana Yanga Na kusema safari kwisha. Nataka tu niwaambie Yanga sio kama Simba.

Mimi Nina 100% Yanga anakwenda kupindua matokeo ugenini

Kuna uwezekano mkubwa mechi ya round ya pili Algeria Yanga Na USM Alger kwenda mpaka kwenye mapenalti.

Macho Yangu tu naomba Mungu awape uzima wote tutakutana hapa kwenye comment.

Eti mapenati!..
 
Kuna watu wanacheka saana Yanga Na kusema safari kwisha. Nataka tu niwaambie Yanga sio kama Simba.

Mimi Nina 100% Yanga anakwenda kupindua matokeo ugenini

Kuna uwezekano mkubwa mechi ya round ya pili Algeria Yanga Na USM Alger kwenda mpaka kwenye mapenalti.

Macho Yangu tu naomba Mungu awape uzima wote tutakutana hapa kwenye comment.
Dua la kuku.......
 
Una habari kuwa leo kuna wachezaji wao watatu wa kikosi cha kwanza hawakuanza???[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]mjiandae kwenda kufariki tu.
 
Kwa msimu huu yanga imecheza MICHEZO miwili Mikubwa.

Simba na........ 2-0
Usm Algers... 2-1

Sasa nimeanza KUAMINI kuwa Simba ni timu kubwa zaidi Tanzania.
ALHALY.
Raja.
Widad.
KAIZERCHEEF.
Orando pirates.
Berkane nk.

Hawa ni MABINGWA WAKUBWA.. Simba imecheza nao

YANGA inacheza na Malumo, zalan, bamako nkhizi ni timu ndogo mno
 
Zile bilioni 1.8 ambazo mmewaahidi wachezaji wenu wote huko algeria imetengwa kwa officials wote wa mechi lazima mchakazwe
 
Back
Top Bottom