Nawakumbusha Yanga sio kama Simba

Yanga ndo kwisha habari hiyo. Yanga kasawazisha tu kuna mwenzio kakimbilia kaunta fasta fasta kuwachukulia wana mizinga ya Kvant, kurudi nayo ameikumbatia mitatu anageuka akae anasikia "kula chuma hicho" [emoji38]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Una habari kuwa leo kuna wachezaji wao watatu wa kikosi cha kwanza hawakuanza???[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]mjiandae kwenda kufariki tu.
Kuna mtu kaniambia wa 4 eti, afu nkambishia.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Uliahidi kua yanga asipo chukua kikombe utageuza mzazi wako kua mkeo!!!!, Ulikua umevuta bangi ya njombe sio?
Anyway nitakukumbusha
 
machizi pekee ndo wanaoshangilia yanga kufungwa lkn sisi tunaoijua yanga tumenyamaza tunawaangalia...BORA KUCHAGUA ANDAZI
 
Hakuna chochote Yanga shughuli yake imeishia hapa na wanaenda pokea kipigo cha mbwa koko Algeria, kiufupi fainali imepoteza mvuto timu bora (USM Alger) imekutana na timu dhaifu ( Yanga) yaani bora hata Asec Mimosas wangeleta ushindani kwenye hii final sio Yanga
 
Uliahidi kua yanga asipo chukua kikombe utageuza mzazi wako kua mkeo!!!!, Ulikua umevuta bangi ya njombe sio?
Anyway nitakukumbusha
Huyu atakua anakula Bangi yake chooo cha shimo, hata kama ni ushabiki huwezi kutoa ahadi kama hizo
 
Yanga kupindua meza ni ngumu rabda aibinue
 
Yanga sio kama Simba, sijaona mtu anaeita Yanga kuwa Simba!!
 
Ili kupata vichekesho hivi bonyeza *120*andazi# okay
 
Your browser is not able to display this video.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Za hivi punde zinasema , CAF wamewaonea huruma uto kwamba mnaweza kuliingiza taifa katika aibu ya karne huko Algeria.Hivyo wamewaruhusu Uto kuchezesha wachezaji 22 kwa mpigo ili kupunguza idadi ya magoli.Kazi kwenu uto.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…