Nawaomba radhi wale wote niliowakejeli kwasababu ya mapenzi

Nawaomba radhi wale wote niliowakejeli kwasababu ya mapenzi

ntuchake

JF-Expert Member
Joined
Apr 17, 2024
Posts
408
Reaction score
1,549
Niende moja kwa moja kwenye mada nisikuchoshe tusichoshane. Mi nilikua nikiona mtu analialia kisa mapenzi nilikua namuona bwege mtunzeni, nilikua nawaza mtu anawezaje kulia au mtu anawezaje kukosa kontro na kupelekea kufanya mambo ya ajabu kisa mapenzi? Nilikua nasema sitoweza kuja kufanya huo ushubwadu ata siku moja.

Bwana weee si yamenikuta, acha niseme tu nyie mapenzi yanauma. Maumivu yake hayaelezeki mtu unajisikia vibaya vibaya tu kila kitu unakiona kibaya kila mtu unamuona kama mchawi tu hasa wale wanaojifanya wanatoa ushauri 😂 unatamani uwafurumushe na viboko mana unaona kama wanakuchora tu.

Namshukuru Muumba nimerudi kwenye hali yangu ya kawaida ila nimekoma sipendi tenaa kiherehere chote kwisha nyie kweli mapenzi kum*ny*ko nimekoma mimi 🙌🙌 asaivi nikona mtu ananletea dalili za ooo nakupenda sijui nininini natoka nduki ata nyuma siangalii NIMEKOMA 🙌
 
Mapenzi ni roho inayoishi, kuwezi kuyachukia wala kusema hupendi tena. Aliyefariki ndio anaweza kufanya hivo.
Mungu alituumba akaweka mapenzi, ni lazima!

Ila uwe na uwezo wa kuicontrol roho.
 
Pole sana, hao wanaotoa ushauri sana yalishawafanya kitu kibaya ila wakavuka salama.

Ukiwa under 25 mapenzi yatakusumbua sana. Ila ukiwa above 25 jitathimini kusumbuliwa na hayo mavitu ni maamuzi yako.
 
Kuachwa,kuachwa,
Kuachwa ni shughuli pevu,
Aah,mbaya zaidi kwa yule unayempenda,
Yeye ananenepa,
Wewe unakonda,
Kwa mawazo ooh,kwa mawazooo x2
 
Bora umejifunza. Kila mtu anayo ya kusimlia kuhusu Mapenzi.Hakuna bingwa wala bwege wa mapenzi bali inategemea umesimama wapi wakati wa kujadili mapenzi
 
Niende moja kwa moja kwenye mada nisikuchoshe tusichoshane. Mi nilikua nikiona mtu analialia kisa mapenzi nilikua namuona bwege mtunzeni, nilikua nawaza mtu anawezaje kulia au mtu anawezaje kukosa kontro na kupelekea kufanya mambo ya ajabu kisa mapenzi? Nilikua nasema sitoweza kuja kufanya huo ushubwadu ata siku moja.

Bwana weee si yamenikuta, acha niseme tu nyie mapenzi yanauma. Maumivu yake hayaelezeki mtu unajisikia vibaya vibaya tu kila kitu unakiona kibaya kila mtu unamuona kama mchawi tu hasa wale wanaojifanya wanatoa ushauri 😂 unatamani uwafurumushe na viboko mana unaona kama wanakuchora tu.

Namshukuru Muumba nimerudi kwenye hali yangu ya kawaida ila nimekoma sipendi tenaa kiherehere chote kwisha nyie kweli mapenzi kum*ny*ko nimekoma mimi 🙌🙌 asaivi nikona mtu ananletea dalili za ooo nakupenda sijui nininini natoka nduki ata nyuma siangalii NIMEKOMA 🙌
subiri upate nyege
 
Back
Top Bottom