Dr. Wansegamila
JF-Expert Member
- Feb 3, 2012
- 2,968
- 8,139
Umesamehewa.Mara nyingi nmekuwa nikijihusisha na kuiombea mabaya club ya Simba. lakini imekuwa kinyume sasa. Naacha hizo habari kwa matches za Kimataifa.
Nmegundua ntapata ugonjwa wa moyo bure na kufa kwa kihoro. Tubaki kutaniana matches za ndani. Za nje nakubali Simba ni Team kubwa kwa Afrika Zama Hizi.
Mniwie radhi Watanzania wenzangu. Na ile ahadi ya kuwa kama simba ingeshinda leo ngempa mtu ujauzito bure. Nipo tayari kuitimiza. Mwanadada jitokeze tuma picha zako nikuone na uwe tayari kupimwa afya na akili.
Yanga tuna mengi ya kujifunza toka kwenu Simba. Inatosha mimi kusema Hongereni sana Bhanyambala.
Huo sasa ndo uanamichezo. Safi sana.
Huwa nawaambia mashabiki wa Yanga ambao huwa naongea nao kwamba Yanga kama timu ina mengi sana ya kujifunza kutoka kwa simba....! Ila huwa wanakua na ule ubishi wa sikio la kufa.
Muache ujinga, muwabane viongozi wenu wafanye vitu vya maana vya kusaidia timu, sio wanajificha kwenye visingizio vya kuonewa na marefa, mara Mo ananunua mechi, mara Mo ananunua marefa.
Mtu ambae anakataa kuwa Simba si kati ya timu bora kabisa Afrika, huyo ana matatizo kichwani.