Frank Wanjiru
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 22,719
- 40,739
Teh teh teh akirudi kufuatilia jibu lake utanishtua Mkuu.Kurejesha pointi tatu za Kagera kwa mshindi halali.
Labda awe Raid wa soko la Karume au Kariakoo.Asante na hongera kwa kutubu sasa hakikisha Ali mayayi anakua raisi nakuona una uzoefu wa kuwafanya wanakua marais
Uwezo wake ni upi ?Asante na hongera kwa kutubu sasa hakikisha Ali mayayi anakua raisi nakuona una uzoefu wa kuwafanya wanakua marais
Hakuna mtu mwenye njaa na mpigaji kama Nyamlani,nenda TEFA katafute mafaili yake kwa wanaomjua.Ni kweli mkuu, umekuwa muungwana. Pale inahitajika injini ya Tenga Athumani Nyamlani. Ni mchapakazi nzuri toka akiwa kiongozi wa ngazi ya wilaya Temeke (TEFA). Aliwezesha chama cha wilaya kuwa chama cha pili kimapato baada ya TFF. Pale aliacha mradi mkubwa wa ujenzi wa kiwanja cha mabatini. Pia tusisahau Mbwana Samata alipotokea Mbagala Market iliyoibuliwana TEFA. Huyu bwana atatufikisha mbali badala ya kuchagua watu wanaojaribu au kuendekeza njaa.
Wakina Blatter na Hayatou ni watu wenye hulka za wakina Ndolanga,Malinzi yupo kisasa zaidi.Watu walipita na Blatter, akafuatia hayatoe, then malinzi is on his way out
Najua hufahamu historia ya mpira vizuri umedandia tuu uliposika watu wanamtaja Malinzi na wewe ukajiona usibaki nyuma.Watu walipita na Blatter, akafuatia hayatoe, then malinzi is on his way out
Kaliharibuje na kabla ya yeye hilo "soka lenu" lilikuwaje?Huyu Muhaya atoke tu. Kashatuharibia sana soka letu.
#Malinziout#
Eti anaejua kona zote za nyavu,umesikia pale TFF ni mahala pakwenda kufanyia majaribio ya uongozi?Chagueni Ally mayay tembele MTU aliecheza mpira na anajua kona zote za nyavu basi, huwezi ukamrudisha MTU aliekua ana tafuna hela za mpira kwa kisingizio aendeleze mambo aliyoanzisha, wizi mtupu, yeye malinzo amechoka, akae pembeni wengine waendeleze jahazi,full stop
Ukiacha kucheza mpira huyo mayai ana elimu gani tena?Chagueni Ally mayay tembele MTU aliecheza mpira na anajua kona zote za nyavu basi, huwezi ukamrudisha MTU aliekua ana tafuna hela za mpira kwa kisingizio aendeleze mambo aliyoanzisha, wizi mtupu, yeye malinzo amechoka, akae pembeni wengine waendeleze jahazi,full stop
Nilikuwa mmoja wa wadau wa soka tuliopambana kufa na kupona kuhakikisha kwamba Jamal Malinzi anashinda urais wa TFF , Tulipambana kwa udi na uvumba , Kwa hali na mali hadi tukafanikiwa .
Lakini kwa madudu yaliyotokea kwenye uongozi wake , nimeona nijitokeze mbele yenu ndugu zangu kuwaombeni sana radhi kwa hujuma hii tuliolifanyia soka la Tanzania , mtoto akinyea mkono usiukate , Naahidi sitorudia tena kufanya madudu ya kumbeba mtu yeyote asiye na uwezo kwa vile tu ni Mfanyabiashara mwenzangu .
Wito wangu kwa wadau wa soka wa Tanzania , hakikisheni mnachagua mtu mwenye uwezo wa kuongoza , na mwenye kuzijua hasa changamoto za soka la nchi hii.
Niko tayari kusaidia upande wowote wa kambi ya mgombea yeyote mwenye weledi na mwenye maono ya kusukuma soka la Tanzania mbele zaidi.
Mungu ibariki TFF .
Mpwa hao wanajisumbua bure tuu,utendaji wa Malinzi unaonekana hadharani wala sio kizani.AKUNA ALIEBAKI SALAMA KWA JAMAL MALINZI RAISI ANAEENDA KUSHINDA TENA
Unajua some times unaweza kuandika kitu ukakichukulia cha kawaida kinoma, kumbe chaweza kuwa na mtazamo mbaya kwa ukiyemwandika.. Utasemaje sijui historia ya soka vizuri wakati hata hatufahamiani, na hujui nini najua kuhusu soka.....Najua hufahamu historia ya mpira vizuri umedandia tuu uliposika watu wanamtaja Malinzi na wewe ukajiona usibaki nyuma.
Sent from my Vodafone Smart Tab 3G using JamiiForums mobile app
Embu niambie Blatter na Hayatou wamekaa miaka mingapi madarakani then uniambie Malinzi amekaa miaka mingapi madarakani?halafu pia uniambie Ndolanga alikaa miaka mingapi madarakani.Unajua some times unaweza kuandika kitu ukakichukulia cha kawaida kinoma, kumbe chaweza kuwa na mtazamo mbaya kwa ukiyemwandika.. Utasemaje sijui historia ya soka vizuri wakati hata hatufahamiani, na hujui nini najua kuhusu soka.....
Kuwa mkubwa kiongozi... Kuwa na mitazamo tofauti sio kosa, ila kamwe usitumie maneno ya kejeli kwa mtu mwenye mtazamo tofauti na ww
Mpwa hao wanajisumbua bure tuu,utendaji wa Malinzi unaonekana hadharani wala sio kizani.
Sent from my Vodafone Smart Tab 3G using JamiiForums mobile app
hahahaaaaaaa subiriii uukuze..tengenezAa na wewee dealViongozi wa TFF wote ni sawa na Mkapa na JK...walikuja madarakani kupiga deal na kujitajirisha, ndiyo maana mpira wa kibongo haukuwi daima. Useless.