Nafikiri naweza kukusaidia kwa kweli mana naifahamu hii shule na nakaa mtaa wa pili kutoka mahali shule ilipo...Ni shule nzuri sana na inalea watoto katika misingi ya kidini sana...dada yangu alisoma hapo O LEVEL na alifaulu vizuri sana.Tatizo lao ni uzoefu maana walikuwa wanafundisha O LEVEL tu ila wameongeza madarasa na wataanza kufundisha mwaka huu ni shule nzuri kwa kweli walimu wenye uzoefu,mabweni mazuri na ina huduma zote muhimu,,,Nakushauri msikilize mwanao anapopahitaji pia ipo dar ni rahisi ww kufika endapo kutatokea matatizo makubwa kwa mtoto wako.