Nawaona Yanga finali ya Klabu Bingwa mwakani

Nawaona Yanga finali ya Klabu Bingwa mwakani

JIHESHIMU KIDOGO.

RAGE ALIWAAMBIA WANACHAMA WACHACHE KUWA NI MBUMBUMBU.

USIPOTOSHE ukweli
TUMIA AKILI
Ni kweli mkuu Rage aliwaita mashabiki wa simba kiwa ni Mbumbumbu,nadhani sisi wengine hatuwezi kuwa Mbumbumbu kwasababu sisi ni wanachama
 
N
Najua wapo watu watanitukana kama walivyo nitukana miezi kadhaa nyuma nilivyo sema yanga watafika final CAF federation. Unajua kwanini nasema hivi nimeangalia mechi nyingi za CAF champions.

Nimebahatika kufahamu timu nyingi na mbinu zao za uchezaji sijaona timu ambayo ina mpira wa kutisha saana. Nitasema timu mbili tu ambazo zina nguvu

Mamelodi hawa wanachezea mpira katikati wakikudominite tu basi wamekumaliza hivyo.

Aly Hilal hawa ni wepesi saana ukiwashambulia ila ukicheza mpira wa kuwaogopa unajaza wachezaji wengi nyuma watakumaliza maana wana washambuluaji wenye nguvu saana.

Uchezaji huu wa yanga ndo utawamaliza wengi club bingwa mwakani.

Yanga sijui wanacheza mpira wa aina gani Mimi Nauita kibeyern Munich Hakuna chaugenini Wala nyumbani.

Kwa hiyo mwakani wakibahatika kucheza champion timu nyingi zitamchukulia underdog nimewahi kusema unapo kuwa una cheza Na yanga usijaribu kushambulia ukaacha mabeki watatu au wa wili nyuma utakuwa umejimaliza wana washambuluaji wenye kasi kubwa saana.

Kwa hiyo wakienda ba mpira huu champions league nawaona finali.
Naunga mkono hoja
 
Club bingwa hakuna timu inayoshuka daraja kule ohooo..
Halafu umesema al hilal si ndio hiyo iliwatoa huko club bingwa au ulimanisha Aly ahly
 
Utopolo msijipe moyo sana, shukuruni tu mpo fainali ila kipigo kwenu kipo pale pale.....mmesha andikiwa kupoteza 5 ~ 0.
 
Kama Yanga alivyocheza robo fainali ya Caf champion league marambili mfululizo 1969/ 1970 ndivyo anavyo kwenda kucheza fainali ya ya Caf champion league 2024.
Niswala la muda tu.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kwa msimu huu yanga imecheza MICHEZO miwili Mikubwa.

Simba na........ 2-0
Usm Algers... 2-1

Sasa nimeanza KUAMINI kuwa Simba ni timu kubwa zaidi Tanzania.
ALHALY.
Raja.
Widad.
KAIZERCHEEF.
Orando pirates.
Berkane nk.

Hawa ni MABINGWA WAKUBWA.. Simba imecheza nao
 
Najua wapo watu watanitukana kama walivyo nitukana miezi kadhaa nyuma nilivyo sema yanga watafika final CAF federation. Unajua kwanini nasema hivi nimeangalia mechi nyingi za CAF champions.

Nimebahatika kufahamu timu nyingi na mbinu zao za uchezaji sijaona timu ambayo ina mpira wa kutisha saana. Nitasema timu mbili tu ambazo zina nguvu

Mamelodi hawa wanachezea mpira katikati wakikudominite tu basi wamekumaliza hivyo.

Aly Hilal hawa ni wepesi saana ukiwashambulia ila ukicheza mpira wa kuwaogopa unajaza wachezaji wengi nyuma watakumaliza maana wana washambuluaji wenye nguvu saana.

Uchezaji huu wa yanga ndo utawamaliza wengi club bingwa mwakani.

Yanga sijui wanacheza mpira wa aina gani Mimi Nauita kibeyern Munich Hakuna chaugenini Wala nyumbani.

Kwa hiyo mwakani wakibahatika kucheza champion timu nyingi zitamchukulia underdog nimewahi kusema unapo kuwa una cheza Na yanga usijaribu kushambulia ukaacha mabeki watatu au wa wili nyuma utakuwa umejimaliza wana washambuluaji wenye kasi kubwa saana.

Kwa hiyo wakienda ba mpira huu champions league nawaona finali.
Club bingwa ni chupi haiwatoshi yanga
 
Back
Top Bottom