Nawaona Yanga finali ya Klabu Bingwa mwakani

JIHESHIMU KIDOGO.

RAGE ALIWAAMBIA WANACHAMA WACHACHE KUWA NI MBUMBUMBU.

USIPOTOSHE ukweli
TUMIA AKILI
Ni kweli mkuu Rage aliwaita mashabiki wa simba kiwa ni Mbumbumbu,nadhani sisi wengine hatuwezi kuwa Mbumbumbu kwasababu sisi ni wanachama
 
N
Naunga mkono hoja
 
Club bingwa hakuna timu inayoshuka daraja kule ohooo..
Halafu umesema al hilal si ndio hiyo iliwatoa huko club bingwa au ulimanisha Aly ahly
 
Utopolo msijipe moyo sana, shukuruni tu mpo fainali ila kipigo kwenu kipo pale pale.....mmesha andikiwa kupoteza 5 ~ 0.
 
Kabla nimefanya mwezi wa 3 mwaka 2022
Basi umefeli kwa sababu kipindi unatabili Yanga alikuwa anacheza klabu bingwa na sasa anacheza shirikisho.
 
Kama Yanga alivyocheza robo fainali ya Caf champion league marambili mfululizo 1969/ 1970 ndivyo anavyo kwenda kucheza fainali ya ya Caf champion league 2024.
Niswala la muda tu.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kwa msimu huu yanga imecheza MICHEZO miwili Mikubwa.

Simba na........ 2-0
Usm Algers... 2-1

Sasa nimeanza KUAMINI kuwa Simba ni timu kubwa zaidi Tanzania.
ALHALY.
Raja.
Widad.
KAIZERCHEEF.
Orando pirates.
Berkane nk.

Hawa ni MABINGWA WAKUBWA.. Simba imecheza nao
 
Club bingwa ni chupi haiwatoshi yanga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…