Chadema imekufa fa fe fi fo fuI can see how you are grieving..poleni sana ndio siasa hiyoo mchezo wasayansi na kushambuliana golini kwa zamu wakati wa kampeni jukwaa mliliteka ila sasa ni vilio na malalamishi.
Jipangeni uchaguzi ujao.
Congratulations in advance President Magufuli
CCM KWA MAENDELEO YA TANZANIA
Mbowe, Lema, Sugu aka Mbilinyi, Msigwa, Prof Jay, Matiko, Raymond, Henche,who is next ..... ...... .....
Baada ya CCM kulawiti uchaguzi huu jiandae kwa wananchi wote kuanza kulawitiwa ikiwa ni pamoja na wana CCM wote.Kwenye hilo hakutakuwa na ubaguzi.Shetani(dikteta) huwa hana rafiki.Kuzimwa kwa internet/mitandao ya kijamii ni manyunyu tu,the worst is yet to come!Usifikiri kuwa upo salama kwa sababu upo CCM.Hao ndio waliokua wanamwita rais JK dhaifu, wakumbushe JK alichowaambia wakati anampongeza JPM
View attachment 1615599
Uwakumbushe hakuna mwenye hatimiliki ya majimbomajimbo hata kina Andrew Chenge wanajua
Kura za maruhani.I can see how you are grieving..poleni sana ndio siasa hiyoo mchezo wasayansi na kushambuliana golini kwa zamu wakati wa kampeni jukwaa mliliteka ila sasa ni vilio na malalamishi.
Jipangeni uchaguzi ujao.
Congratulations in advance President Magufuli
CCM KWA MAENDELEO YA TANZANIA
Mkuu basi imetosha tushakubali.tufungulie mitandao basi boss. Wengine ajira zetu ziko mitandaoni,tutalipaje Kodi mmumalizie stiglazgoge.Wewe endelea kuugulia penicillin injection na kitaalamu huwa wanasema haifai kuchomwa kwenye jua kali na ukishachomwa shruti ukae kwanza..zingatia hayo Mike
Congratulations in advance President Magufuli
CCM KWA MAENDELEO YA TANZANIA
Hawakua na malori ya kura zilizokwisha kupigwa ili washinde.Walikuwa wanapiga kelele za haki ktk uchaguzie.Ila kama mnafikiri mko salama subiri uone tutakavyoswagwa km ng'ombe.Ni muda wa kulia na kuhuzunika pamoja.Kelele nyingiiii kumbe hamna lolote BAVICHA.
Inaelekea wewe ndio umeanza kuishi kwa shidashida sasa, wengine tumeishi hivyo tangu tunazaliwa ila sasaivi tuna kanafuu japo mama ntilie hatulipi ushuru wa zile elfu5 kwa siku hata hospitali tunapata huduma, shuleni watoto wanaenda na barabara zinapitika.Baada ya CCM kulawiti uchaguzi huu jiandae kwa wananchi wote kuanza kulawitiwa ikiwa ni pamoja na wana CCM wote.Kwenye hilo hakutakuwa na ubaguzi.Shetani(dikteta) huwa hana rafiki.Kuzimwa kwa internet/mitandao ya kijamii ni manyunyu tu,the worst is yet to come!Usifikiri kuwa upo salama kwa sababu upo CCM.
mama D haupo salama wewe wala familia yako wala ndugu zako wala marafiki zako.Njia pekee ya wewe kuwa salama ni kusimamia haki,kupinga dhuluma hii na kuwa upande wa wale wote wanaopinga ulawiti huu wa demokrasia Tanzania uliofanywa na CCM.
Kuwa na amani mkuu,ni muda mchache sana uliobaki tutaimba wimbo mmoja,tutalia na kuomboleza pamoja.Hili nililiomba kwa Mungu na amesikia. Kuna wapumbavu wachache wanaodhani wako salama.Huwa ninasema kila siku akili ya muafrika the best it can do ni kuvukia barabara, not logical and rational thinking... Imagine mtu anashangilia kupangiwa mtu wa kumtawala, imagine licha ya kuona jirani yake, ndugu yake na Mtanzania mwenzake abadhulumiwa haki yake, ameumizwa na wengine kuuawa but yeye ndiyo kwanza anakenua meno kwa furaha. Na hapo wala hatarajii kupata chochote wakati wenzake waliyofanya hayo wanategemea malipo au fadhila....
Umelawitiwa hadi mawazo.Duuuh!!Inaelekea wewe ndio umeanza kuishi kwa shidashida sasa, wengine tumeishi hivyo tangu tunazaliwa ila sasaivi tuna kanafuu japo mama ntilie hatulipi ushuru wa zile elfu5 kwa siku hata hospitali tunapata huduma, shuleni watoto wanaenda na barabara zinapitika.
Kwa kweli kwetu wa maisha ya chini kuna kaahueni kubwa serikali hii
Mawazo yenu ya kishogashoga ndio maana jamaa yenu wazalendo wa nchi hii tumempiga chini kwa kumpa kura nyingi sana Magufuli.Umelawitiwa hadi mawazo.Duuuh!!
Napata Shaka kidogo na uelewa wa hao wanaoshangilia matokeo ya uchafuzi huo wa demokrasia, uhuru na haki unaondelea nchini huku wakidhani kuwa wataepuka athari zake. Ni umbumbumbu na kukosa uelewa kwa kiwango kikubwa kabisa kushangilia uchafuzi huu. Athari zake zitamfika kila mtanzania bila kujali wewe ni mwana CCM au la. Ni suala la muda tu.Chadema imekufa fa fe fi fo fu
Umelawitiwa hadi mawazo.Duuuh!!
Mawazo yenu ya kishogashoga ndio maana jamaa yenu wazalendo wa nchi hii tumempiga chini kwa kumpa kura nyingi sana Magufuli.
Congratulations in advance President Magufuli
CCM KWA MAENDELEO YA TANZANIA
Umelawitiwa kimawazo sawasawa.Bado muda mchache tutaongea lugha ,tutalia pamoja.tuko ndani ya chama kimoja.WEKA AKIBA YA MANENO,USISAHAU KURUDI HAPA.Ni punguani tu pekee anaweza kushangilia upinzani bungeni kuuawa.Mawazo yenu ya kishogashoga ndio maana jamaa yenu wazalendo wa nchi hii tumempiga chini kwa kumpa kura nyingi sana Magufuli.
Congratulations in advance President Magufuli
CCM KWA MAENDELEO YA TANZANIA
Mm ndio kitu nashangaa mpaka saivi sioni tamko walilotoa kuhusu huu uhuni wa necccm na mapolisi waoHatukati tamaa lakin viongozi wa upinzani wanachoshaa wamekaa ndani tu pumbavuu zao
Chadema ilishajifia hiki kilichobaki kilikua kikundi cha wahuni waliokua wanatumia demokrasia kama ngao kutekeleza uporwaji wa wananchi na mali zaoNapata Shaka kidogo na uelewa wa hao wanaoshangilia matokeo ya uchafuzi huo wa demokrasia, uhuru na haki unaondelea nchini huku wakidhani kuwa wataepuka athari zake. Ni umbumbumbu na kukosa uelewa kwa kiwango kikubwa kabisa kushangilia uchafuzi huu. Athari zake zitamfika kila mtanzania bila kujali wewe ni mwana CCM au la. Ni suala la muda tu.
Inashangaza shetani kuquote na maneno ya biblia takatifu.Niwekee clip ambayo Lissu alisema anaunga mkono ushoga.Tuanzie hapo.This is... nadhani umemuelewa kaka yake mama D Mulokozijr12 sisi hatunaga hiyo michezo yenu mnayofanyaga na amstadamu
Inawezekana kabisa haya matokeo ndio hukumu yenu maana Imeandikwa, 1Wakorintho 6:9 "Au hamjui yakuwa wadhalimu hawataurithi ufalme wa Mungu wala wabudu sanamu, wala wazinzi, wala wafiraji, wala walawiti ."
Upinzani ulishajifia miaka mingi hiki kilichobaki kilikua kikundi cha wahuni waliokua wanatumia demokrasia kama ngao kutekeleza uporwaji wa wananchi na mali zaoUmelawitiwa kimawazo sawasawa.Bado muda mchache tutaongea lugha ,tutalia pamoja.tuko ndani ya chama kimoja.WEKA AKIBA YA MANENO,USISAHAU KURUDI HAPA.Ni punguani tu pekee anaweza kushangilia upinzani bungeni kuuawa.
BUNGE LIJALO TUTEGEMEE HAYAUkweli mchungu ni kuwa shamrashamra zikishapungua, mwenyekiti wao bila kificho atawaambia kupitia umma kuwa sasa ni wakati wa kulipa fadhila. Haiingii akilini uwang'oe Mdee, Mbowe, Lema, Mbilinyi, Bulaya, Heche, Matiko, Msigwa na usilipe fadhili (price to pay).
Jiandaeni kisaikolojia. Jiandaeni kutumika kama pampas ndani ya chama chenu hicho hicho. Jiandaeni kufungwa midomo. Jiandaeni na utumwa huru.
Najua wengi nafsi hazina kicheko japo kinywani vipo. Dr. Tulia kasema mwenyewe hawakustahili. Sio kauli ya kubeza tu. Wameona uhalisia na sasa wanashangaa
Ni kama Yuda aliyetamani kuvitema vipande vya fedha ikashindikana kwa kuwa ilibidi maandiko yatimie, ila ole wake ambaye maandiko yametimia kwa njia ya yeye.