Nawaonea huruma wabunge wa CCM, wengi hawaturudi 2025 Bungeni

Nawaonea huruma wabunge wa CCM, wengi hawaturudi 2025 Bungeni

Ikitotanzila

JF-Expert Member
Joined
Sep 22, 2020
Posts
1,409
Reaction score
2,263
Kipindi Cha mwendazake wengi walitangazwa kinguvu na wakurugenzi licha ya chadema kushinda viti vingi including kawe na Ubungo.

Wakurugenzi walikuwa wameshaelekezwa kuwa atakayetangaza chadema tu basi ajihesabu hana kazi na hakuna aliyekuwa tayari kupoteza kazi kisa kumpa ulaji mwingine.

Kwa sasa Samia kaja kivingine kabisa, ni mtu wa haki, amani na asiyekuwa na mabavu kwa lolote. Atakayeshinda ndo atayetangazwa na zaidi ya hapo kutakuwa na time huru ya uchaguzi tayari ambayo ni kifo cha akina msukuma na wengineo.

2025 kutakuwa na 50, 50 ya wabunge wa chadema na CCM au Chadema itaifunika CCM. Nasema chadema kwa sababu hivi vingine Kama ACT nk Ni vyama vya mfukoni hakuna anayevijua kabisa huku duniani.

Asante mama kuondosha unyanyasaji na ndo Mana akina pengo na shehe mkuu wa dar wamepwaya Mana bila dhulma wanaona dunia haiendi
 
Ndio hawatarudi lakini sababu hiyo iliyotowa ni ya kitoto mno eti CHADEMA ilishinda eti wakurugenzi wakatangaza ushindi kwa nguvu .inahitaji kujitoa ufaham kuanini kuwa CDM hii ilivyo dhoof lihali inaweza kushinda hata uchaguzi ujao

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndio hawatarudi lakini sababu hiyo iliyotowa ni ya kitoto mno eti cdm ilishinda et wakurugunze wakatangaza ushindi kwa nguvu .inahitaji kujitoa ufaham kuanini kuwa cdm hii ilivyo dhoof lihali inaweza kushinda hata uchaguzi ujao

Sent using Jamii Forums mobile app
Ingekuwa dhoofu tusingeona vitimbi vile vya kuzuia mikutano ya lisu na kupingwa mabomu ili watu wasiende. Tusingeona tbc wanaisusia ili tu asipate coverage. Hata usafili wa maji walimnyima pale ukerewe eti boti zimekuwa mbovu ghafla. Hata angani ilikuwa shida nakumbuka alitaka kuja kawe kuhudharia mkutano wa hadhara Mara TAA wakasema anga limechafuka hivyo haruhusiwi. Ndo ujue chadema ilikuwa inatisha Ila figisu tu. Ingekuwa ccm ndo ingefanyiwa fisgisu zile ungeona impact yake.
 
Kwa nini unaowaonea huruma wakati watakiwa wamejikusanyia mamimilioni ya shillingi wakati wanaondoka?
 
Ambao hawatarudi orodhesha hapa
1- babu tLe
2- fa mwana
3-mwta weitara
4- waliounga wote juhudi
5- vipi wa kuteuliwa slow slow atarudi Ila hapiti za maoni ndo mazima sijui Kama ataweza kuiendesha vee III eiti Tena.
Ivi alikuwa anaiendesha before kweli akiwa mkufunzi. Yaani jamaa anaumia Sana saivi ndo amejua umuhimu wa shule ya siasa kweli jamani mbona before hakuwa nayo.
6- vipi bana wa kala bundi kweli ataipigania chato iwe Kama Guangzhou ama fujian Kama sio Shanghai
 
Ambao hawatarudi orodhesha hapa
1- babu tLe
2- fa mwana
3-mwta weitara
4- waliounga wote juhudi
5- vipi wa kuteuliwa slow slow atarudi Ila hapiti za maoni ndo mazima sijui Kama ataweza kuiendesha vee III eiti Tena.
Ivi alikuwa anaiendesha before kweli akiwa mkufunzi. Yaani jamaa anaumia Sana saivi ndo amejua umuhimu wa shule ya siasa kweli jamani mbona before hakuwa nayo.
6- vipi bana wa kala bundi kweli ataipigania chato iwe Kama Guangzhou ama fujian Kama sio Shanghai
1. Priscus Tarimo: moshi Mjini
2. Saashisha Mafue : Hai
3. Prof Kabudi : kilosa
4. .Prof Muhongo: musoma vijiji
 
1. Priscus Tarimo: moshi Mjini
2. Saashisha Mafue : Hai
3. Prof Kabudi : kilosa
4. .Prof Muhongo: musoma vijiji
Priscus toka amepata ubunge sijamsikia hata siku moja hapo moshi anaekuja juu ni huyo meya wa jiji nahisi atamtoa Priscus maana mshkaji kila siku yupo kwenye media.

Priscus pia ni kama amezimwa wakati anapaswa kuwa active na media. Sema Moshi mjini huwa hapatabiriki kabisa alikuja Davis Mosha wakamla hela na hawakumpa kura 😃😃
 
Hata huyo Meya wa mji wa Moshi ni kimeo tu ni mtu wa kujipendekeza kwa wakubwa na kuangalia maslahi yake binafsi, Kwa kifupi anapenda sifa na sijui alichomokaje ktk ile kesi ya yule kibaka Masai? Ccm Moshi wataiua tena isote kama Yanga wanavyousotea Ubingwa.
 
Kipindi Cha mwendazake wengi walitangazwa kinguvu na wakurugenzi licha ya chadema kushinda viti vingi including kawe na ubungo. Wakurugenzi walikuwa wameshaelekezwa kuwa atakayetangaza chadema tu basi ajihesabu hana kazi na hakuna aliyekuwa tayari kupoteza kazi kisa kumpa ulaji mwingine.
jamaa alikuwa mtemi na hakuwa na utu kabisa. Siasa akapandikiza uadui ikawa vita ya visu, mapanga na mtutu wa bunduki, kutekana na kupotea ikawa kitu cha kawaida kabisa.
 
Hata huyo Meya wa mji wa Moshi ni kimeo tu ni mtu wa kujipendekeza kwa wakubwa na kuangalia maslahi yake binafsi, Kwa kifupi anapenda sifa na sijui alichomokaje ktk ile kesi ya yule kibaka Masai? Ccm Moshi wataiua tena isote kama Yanga wanavyousotea Ubingwa.
Umeandika vizuri Ila umemaliza kikolo mno.
 
Sitaki kumsikia mbunge wangu unapayuka bungen. Nataka maendeleo ya jimbo langu. Full stop.
 
Ndio hawatarudi lakini sababu hiyo iliyotowa ni ya kitoto mno eti CHADEMA ilishinda eti wakurugenzi wakatangaza ushindi kwa nguvu .inahitaji kujitoa ufaham kuanini kuwa CDM hii ilivyo dhoof lihali inaweza kushinda hata uchaguzi ujao

Sent using Jamii Forums mobile app
Waachie wafanye siasa kama ccm uone moto wake. Sisi serikalini huku tunawaogopa sana
 
Back
Top Bottom