hearly
JF-Expert Member
- Jun 19, 2014
- 45,678
- 63,304
Mwambie na mimi namuonaHahaha hahaha hahaha
Yaani kupatwa sio kidogo!! Mungu anakuona ujue
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwambie na mimi namuonaHahaha hahaha hahaha
Yaani kupatwa sio kidogo!! Mungu anakuona ujue
Hahaha hahahaLol nyau weee sithubutu hata . Vuta subira nikitulia nita unlock then nitakujuza. Now niko tight kidogo
Sawa bwana...Mwambie na mimi namuona
Hahaa Mkuki kwa nguruwe sindio !?Hahaha hahaha
Hivi kweeli umeweka kofuli?! Bichwa lakooo
Hahaha hahaha
Naunga mkono hoja cc NumbisaUkioa mwanamke mwenye chura kubwa unajitafutia balaa, yaani unakua umeoa bango la biashara!! Mbaya zaid na yeye ajione kuwa ni mbora zaidi ya wengine, utakoma!
Kuna simple women, real simple, humble, easy to carry n smart upstairs!! Ewaaa, hawa sasa unakuwa umeoa brained computer! Unapata mengi, mama, mshauri, hot in bed, funny n many more!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimebahatika kuipata picha yakoHahaha hahaha
Sema kweeli jamanii!
Hahaha hahaha hahaha
Mmmmmh! Kama mfuko wa mashineni. (Anisamehe dada huyo, unless wamem'eddit !!)
Hahaa .... Sakayo eti wame ku-edit au ndivyo ulivyo !!?Mmmmmh! Kama mfuko wa mashineni. (Anisamehe dada huyo, unless wamem'eddit !!)
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaaa na subiri wanitumie picha zako nyingine zinazo onyesha uso wako na msambwanda jinsi ulivyo ..... I hope sehemu hizo zitakuwa na mabaka kama duma .....Hahaha hahaha hahaha
Mecheka saaaana jamanii!
Hahaha hahahaHahaaa na subiri wanitumie picha zako nyingine zinazo onyesha uso wako na msambwanda jinsi ulivyo ..... I hope sehemu hizo zitakuwa na mabaka kama duma .....
Lakini mimi nime kupenda hivyo hivyo tu ...huwa na desturi ya kuvutiwa na vitu vilivyo na upekee
Sent using Jamii Forums mobile app
Usijali kabisa MkuuHahaha hahaha
Daaahhhh.... Wakikutumia nishtue jamanii rafiki.....
We nipende tuu ivo ivo
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Madame tayari nimesha fanya setting ..geti liko waziHahaha hahaha
Daaahhhh.... Wakikutumia nishtue jamanii rafiki.....
We nipende tuu ivo ivo
Hahahaha
Daahh mtu chake shikamoo
Haha mimi hapana aise " shikamoo ya nini tena wakati sina nyota zozoteHahahaha, marhaba na wewe shikamoo pia Mkuu
MTC | 101| [emoji769]
Hahah daah ...Hahahaha
MTC | 101| [emoji769]