Nawaonea huruma wadada wasio na "mizigo" mikubwa

Nawaonea huruma wadada wasio na "mizigo" mikubwa

Wakuu mi niseme tu ukweli nikikutana na binti mrembo halafu awe ame pass like a shadow huku nyuma naanza kumuonea huruma.

Naanza kumsikitia nikiwaza jinsi anavyojifiria anapokutana na wenzake ambao Wana mzigo wanaojambia mbali.

Unakutana mjini na katoto kakali balaa ukigeuza shingo uangalie alichobeba chooni unakuta anadanganya work done zero hakuna kitu.

Nawashauri tu wadada slim muwe mnavaa hata zile chupi zenye matako ya ziada kidogo nitakuwa siumii roho nikiwaona.

Huwa nahisi kabisa hamjaridhika na mlichopewa. Ni sawa na Mimi Sasa hivi niwe Sina hela alafu niwe na kibamia halafu eti niseme naridhika tu na jinsi nilivyo nitakuwa nadanganya umma.

Nazungumzia wale ambao matako Yao madogoo kushinda hata ya boyfriends zao.

View attachment 1042924

😀😀😀😀😀 point yako bado naifikiria kwa makini ila WOWOWOW +figa+sura ndo kila kitu
 
Kungekuwa na sheria inayomtaka kila mwanaume aoe mwanamke mwenye (shape) umbile kama la mama ake mzazi, naamini baadhi ya wanaume wasingewadharau na kuwakejeli wanawake wasio na makalio makubwa....🙂🙂🙂
Kungekuwa na sheria inayomtaka kila mwanamke aolewe na mwanaume mwenye maumbile kama wa baba yake mzazi naamini hii kero ya vibamia isingekuwepo.
 
Kungekuwa na sheria inayomtaka kila mwanaume aoe mwanamke mwenye (shape) umbile kama la mama ake mzazi, naamini baadhi ya wanaume wasingewadharau na kuwakejeli wanawake wasio na makalio makubwa....🙂🙂🙂
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1][emoji1]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii nayo ni comment ya msingi sana
Kungekuwa na sheria inayomtaka kila mwanaume aoe mwanamke mwenye (shape) umbile kama la mama ake mzazi, naamini baadhi ya wanaume wasingewadharau na kuwakejeli wanawake wasio na makalio makubwa....🙂🙂🙂
 
Back
Top Bottom