Mbao za Mawe
JF-Expert Member
- May 11, 2015
- 23,372
- 54,943
Wema kapata tako wewe unafeli wapi? Tafuta tako unatia aibu wanawake wenzio.[emoji134][emoji134][emoji134] Nipeleke China basi ili niondokane na manyanyaso yako
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wema kapata tako wewe unafeli wapi? Tafuta tako unatia aibu wanawake wenzio.[emoji134][emoji134][emoji134] Nipeleke China basi ili niondokane na manyanyaso yako
Mshipa wewe upoje lakini unanijuaje sasa
Ndio mana nimesema nipeleke chinaWema kapata tako wewe unafeli wapi? Tafuta tako unatia aibu wanawake wenzio.
Siku hizi wasio na ujazo nyuma wanaonekana kama walemavu.
Hii ndiyo maana halisi ya flat screen.Hii kweli passed like a shadow mamamae
Ruby kapata tako wewe una nini usipate.Ndio mana nimesema nipeleke china
Hahahaha ngoja nikujie pm baba wa mtoto mzuri [emoji1787][emoji1787][emoji1787] uko kunijua tu yaani
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Naenda China yakianza kushuka usinikimbieRuby kapata tako wewe una nini usipate. View attachment 1043212
Hahaha usije utanitia majaribuni na ulivyo mrembo sasaHahahaha ngoja nikujie pm baba wa mtoto mzuri [emoji1787][emoji1787][emoji1787] uko kunijua tu yaani
Mfyuuu ebu uko na urembo wako nipm basi au ulifutaga ile chat
Dah sijui hata umewaza nini wewe jamaaKungekuwa na sheria inayomtaka kila mwanaume aoe mwanamke mwenye (shape) umbile kama la mama ake mzazi, naamini baadhi ya wanaume wasingewadharau na kuwakejeli wanawake wasio na makalio makubwa....🙂🙂🙂
Hahaha chati ipi hyo? Wewe pm yako si unafungaga throughout the yearMfyuuu ebu uko na urembo wako nipm basi au ulifutaga ile chat
Tuliza ubapa wa panga huoHaya tutajie faida kuu tano za kuwa na matako makubwa kwa mwenye matako
1.
2.
3.
4.
5.
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23]AiseeKungekuwa na sheria inayomtaka kila mwanaume aoe mwanamke mwenye (shape) umbile kama la mama ake mzazi, naamini baadhi ya wanaume wasingewadharau na kuwakejeli wanawake wasio na makalio makubwa....🙂🙂🙂
Hahhahahah ile chat ya siku ile ukajaribu pm ilikuwa wazi au uliifuta nikuje mmHahaha chati ipi hyo? Wewe pm yako si unafungaga throughout the year
Sent using Jamii Forums mobile app