iyokichiku
Member
- Oct 30, 2023
- 36
- 70
Naunga mkono hojaBado tuna maumivu makubwa ya kufungwa 5-1 hivyo hamu ya kwenda uwanjani kiuhalisia haipo hata Kama mtazunguka dar nzima.
Wachezaji hawatupi matumaini ya kushinda kwani hawajitumi utadhani wanacheza bure na hawalipwi mshahara.
Viongozi hawaonyeshi nia ya kuwajibika na kujitathmini.
NakaziaBado tuna maumivu makubwa ya kufungwa 5-1 hivyo hamu ya kwenda uwanjani kiuhalisia haipo hata Kama mtazunguka dar nzima.
Wachezaji hawatupi matumaini ya kushinda kwani hawajitumi utadhani wanacheza bure na hawalipwi mshahara.
Viongozi hawaonyeshi nia ya kuwajibika na kujitathmini.
Anayejituma ni Kibu D tu ndio maana game na Yanga alipotoka tu Yanga wakawa wanateleza tu hatimaye wakapata magoli manne zaidi. So Kujituma kunakozungumziwa ni kile anachokifanya Kibu D yaani Maximum delivery akiwa uwanjani [emoji3]Hawajitumi au ndio uwezo wao, yani kila siku kila mara(in pierre voice) mnasingizia wachezaji hawajitumi wakati ndio uwezo wao ulipoishia[emoji23]
Usiende wenzako wataenda
Mkuu tatizo nn mpk hutaki kwenda uwanjani?Nendeni nyie msio jua umuhimu wenu