Nawapa sababu nyingine ya kumpenda Diamond

heaven on desert

JF-Expert Member
Joined
Jan 25, 2013
Posts
1,025
Reaction score
393
Kaanda onesho la peke yake na likafanikiwa.

Kashindansha watoto kucheza ngololo na washindi watatu waliopatikana atawalipia fees miaka yote waliyobakiza shulen ikiwa ni pamoja na kuwahamishia kwenye shule zenye kiwango.

Baada ya show leaders alipanda private jet aliyoikodi mwenyewe kuwahi show iliyokuwa inamsubiri Mwanza.

Muda si mlefu tutakua Dar.

WCB WASAFI daima.
 
Learn how to write..........

I love Diamond...........he knows what he is doing
 
kama staili yenu ya kuchangia inavyokera
Ingawaje sifahamu u keep on posting stuffs about Diamond, but for me this's all about how business works! Hata kama si lengo lako, but positive thinking may assume what u're doing is promoting Diamond; which's good in this competitive environment. So, if that's so, then I'd assume kwamba ungekuwa unatoa promotional/commercial driven posts in favor of Diamond instead of mipasho au kutaka kushindana kwa vijembe dhidi ya wale wasiompenda the guy. This's all about business business brada, kama mtu anamponda Diamond, why don't you respond to that particular post just by saying "u're welcome, ur concern is highly appreciated and we're gonna work on it!" u gonna loose nothing, but keep u professional and paint good image of ur guy. That's all chuck, u can take it or dump even into the dustbin!
 
Naona unajipigia chapuo....sijali atakutongoza tu
 

mkuu haya mambo hutegemea uelewa wa mhusika huyo kijana ana mikato ya mipasho mno na inaonesha anawadungishia mahasimu wao but ni tabia isiyopendeza kwa watoto wa kiume
 
mkuu haya mambo hutegemea uelewa wa mhusika huyo kijana ana mikato ya mipasho mno na inaonesha anawadungishia mahasimu wao but ni tabia isiyopendeza kwa watoto wa kiume
you're right! Na ndio maana tunajaribu kuelimishana...hakika ni tatizo si kidogo.
 
waalimu washanza so nini hujakielewa kwenye huo uandishi??na wewe hayo ma dot dot manake nn
Hi Mimi ni shabiki mkubwa wa Diamond. Ila jifunze uandishi wa kuvutia, Mfano, Diamond Aselebuka na watoto, Au Diamond atoa msaada wa masomo , kupenda au kutopenda waachie wasomaji, ni ushauri tu!
 
waalimu washanza so nini hujakielewa kwenye huo uandishi??na wewe hayo ma dot dot manake nn
Hi, Mimi ni shabiki mkubwa wa Diamond. Ila jifunze uandishi wa kuvutia, Mfano, Diamond Aselebuka na watoto, Au Diamond atoa msaada wa masomo , kupenda au kutopenda waachie wasomaji, ni ushauri tu!
 
toa uthibitisho wa yeye kuwalipia hao watoto ada ....
 
Tatizo lako unaandika kama kujibizana ama kukomoa watu flani.andika taarifa kama taarifa usifanye mipasho
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…