bluetooth23
JF-Expert Member
- Apr 8, 2013
- 348
- 326
ndugu zangu, bila S ya GS huwezi kwenda chuo kikuu. Kwa taratibu na kanuni za TCU na vyuo vikuu GS ndo inasapot perfomance yko kwny comb uliyosoma. Hvyo hata upate div one ya points 3 bila kufauku GS bs hujakidh vgezo vya kuiona degree.
Hvyo mliofeli GS labda urisit upya somo hlo au uende diploma au vyuo vngne vdogovdogo vya fani mbalimbali. Wapo wanaosema Necta wamefanya makusudi kuwafelisha wanafunz somo la GS mwaka huu ili mwende diploma ya ualimu kwa wing lakin cna hakika na hli. Ila kama umefeli GS kwa taratbu za TZ huwez kwenda chuo kikuu chochote.
Jipangeni
Hvyo mliofeli GS labda urisit upya somo hlo au uende diploma au vyuo vngne vdogovdogo vya fani mbalimbali. Wapo wanaosema Necta wamefanya makusudi kuwafelisha wanafunz somo la GS mwaka huu ili mwende diploma ya ualimu kwa wing lakin cna hakika na hli. Ila kama umefeli GS kwa taratbu za TZ huwez kwenda chuo kikuu chochote.
Jipangeni
