Nawapenda Hawa Wadada/Wanawake MMU-Members 20 Bora.

Mleta sledi kataja walembo tu, nashangaa na jina asplin limetajwa...au asplin ni mlembo mpya hapa JF? Babu asprin acha kupaniki.....labda siyo wewe!

Tukiendelea kuiacha hii tabia inakomaa:

Sledi=sredi
Walembo=Warembo
Asplin=Asprin
Mlembo=Mrembo

Unakimbilia wapi Rejao??
 
Hivi anga izi ni wanaume tu ndio wana ubavu kuwa open and transaprent??
Sad isnt it? L_C_P is a mdada......
Asante dada kwa kutoa utata.

Una ugonjwa, Kama siyo udhaifu, wa kuzimikia wanawake, halafu unaichomekamo MMU Kama kisingizio tu. Nani alkwambia Mmu ni ya wanawake pekee?
We unataka nizimie wanaume?

Achana nae. Najiandaa kukuanzishia thread ya kukuzimia soon, usije ukaniangusha basi manake mikaeli atafurahi kweli. Una bluetooth?
Bora King'asti ulivyomjibu huyu kumtuliza mzuka anataka niwasifu wanaume wenzangu kwa lipi hasa? Na yeye asubiri wamsifie kinadada.

Kumbe mie mkali kwa wanangu, ngoja nipunguze kidogo maana huyu mwanangu Cantalisia ataniletea noumer kwa mama Ngina..........
Si mnajua mabinti wa siku hizi ni Bumper to Bumper
Kweli mkuu punguza! si umeona dogo kamuanzishia uzi binti yako Cantalisia alivyoona dingi nae anafuatilia thread! kakimbia hata jibu hakuchukua. angalia usije kudoda nao.

Mapendo yadumu milele. Kupendana si dhambi, sidhani kama umemkwaza mtu.
Respect dada Husninyo binti Mtambuzi.

Mleta sledi kataja walembo tu, nashangaa na jina asplin limetajwa...au asplin ni mlembo mpya hapa JF? Babu asprin acha kupaniki.....labda siyo wewe!
Huyooooooooooo! Huna lolote wewe Hunanhuuu?
wivu tu!
 
avatar za google zimekudanganya wewe,
Tuko pamoja BADILI TABIA hata wewe Unakimbiza! Nawapenda wote dadas humu MMU

Mie nimependa avatar, narudia tena kwa vidume vilivyoona wivu, nimesifia avatar za kina dada wa humu MMU tu, Kwani hata wewe sidhani kama utapenda taswira yako muonekano wake kwa watu uwe mbaya, nami kwa hisia hizo najua asilimia 80 ya dadas humu MMU ni warembo kama avatar zao zinavyowawakilisha.
 

Sina la kusema zaidi ya kusema hili


Am so happy mkuu kwa hili liufagio,baba mkwe mkali ila ndio hivo tena itafika siku itabidi akubali matokeo lol!!!!
 
Ukiona Avatar hii basi ujuwe huyo ni Matola! watch out kijana. vipi shule zinafunguliwa lini?
Matola hapa usiingie kichwa kichwa mie sio dogo kwa taarifa yako, Usinifananishe na wanafunzi wa shule za kata! mziki mzito niite Brotherkaka.
 
baba mkwe mkali ila ndio hivo tena itafika siku itabidi akubali matokeo lol!!!!
Baba mkwe mwenyewe nae hajatulia anapishana mabega na wakwe zake! Sema nawakubali mabinti zake kama mngekuwa legelege huyu dingi angewasumbua sana! mkomalieni hivyohivyo.

 
Baba mkwe mwenyewe nae hajatulia anapishana mabega na wakwe zake! Sema nawakubali mabinti zake kama mngekuwa legelege huyu dingi angewasumbua sana! mkomalieni hivyohivyo.

Huyu saizi yetu tunamudu kwa sana tu,hili hata yeye analijua akizingua tu tunamharibia kwa maza coz story zake ni vimeo tupu na hawezi kuzitolea maelezo kwa maza!!

 
Good. Nimeipenda hii post. Umewaelezea vizuri, mawazo yako naona kama wengi tunayo. Nawapongeza waliotajwa.
 
Join Date : 9th January 2012
Kumbe ndio maana unagombanaga nakina ritz na Rejeao. Hii ID kwa ajili ya MMU kijana naomba kwanza urudi kule Jukwaa la siasa, nyie ndio mnawasababishia ban kina FF kila siku.

Alafu hauoni aibu we senior member mie Premium member! Mie bosi wako dogo natoa maamuzi ooooh!

 

Taabu kweli kweli!! Ngoja nione mabinti wanavyojikanyaga na sifa ulizowapa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…