bertha micheal
Member
- May 30, 2015
- 20
- 0
Mmmmmhhh we hatare ila tabia hain dawa hata ukioa utakua tuu unatok nje ya ndoa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sorry Mkuu hivi hivyo vipicha vya avatar yako huwa unavitoaga wapii??
u can't believe cjawah hata jaribu dawa yoyte ya kuongeza nguvu za kiume, just me who i am, may be somethin is inside me!
Website gani, Au nikitaka kuvipata niandikeje...??Online Mheshimiwa
duh, wanaume wanaotumia xxx badala ya sss tabia zao kumbe ndo ziko hivi?
kwenye 's' ukishaweka 'x' tuu basi me hupata jibu we mtu wa umri gani na ukoje.
What an Inspiration?
Hawa watoto wa siku wanatumia x badala ya s hata wanavojibu mitihani yao, ndio maana serikali ikabadili mfumo wa madaraja ya ufaulu!
Miaka 25 bado unatumia x penye s, ndo maana!
Hata hivyo, una maanisha nini unaposema malaya?
xory kiongoz mi sio mtoto tena nina watoto, na pia nina uwezo wa kulala hta na mkeo, xo mi co mtoto, x is what i prefer more than s.. tafuta neno lolote nilikoandika lenye s mwixhn nikaweka x! nakupm vocha.