Nawapenda sana malaya

Nawapenda sana malaya

Hivyo viwanja ulivyotaja vinaongoza Tanzania kwa UKIMWI...mdogo wangu, unacheza na kaburi! Makambako, Njombe, Tunduma...una balaa weye!

ucogope bro, kaburi ni nyumba ya kila mtu, kama hivi kesho nitakuwepo nyororo mufindi, kuzika tu.
 
Sijui Nani anaemtumia mwenzake kati yenu. They are using you too because you are not getting free services.

lakini pia naona una kila dalili za kuwa sex maniac na mke hutomuweza asilani, pole zako young man.

axante, karibu
 
Nina miaka 25 toka nina miaka 16 nimekuwa napenda sana kulala na malaya, kama pesa ipo huwa nawatafuta mpaka niwapate mpaka sasa nimelala na malaya si chini ya 150.

Nakumbuka mwaka jana sehemu flani hapa mbeya nililala na malaya watano kwa usiku mmoja, usiseme kuhusuUKIMWI sababu natumia condom na napima kila baada ya miezi mitatu, still negative.

Kinachonichanganya umri unaenda inanibidi kuoa na sijui nitaachaje sababu nawapenda sana na naenjoy, Mbalizi, Mbozi, Tunduma, Njombe, Makambako, Mafinga, Iringa, Songea, Singida, Dar ndo usiseme nimepita viwanja vyote! Huwa sichoki kufanya mapenzi.

Bado cha mtoto wewe yaani Malaya one fifty tu ndio unaleta thread kabisa!!!? Tena hata miaka 30 hujafika! Mbaya zaidi unatumia condom! Piga kwanza malaya wafike mia tano tena bila ndom halafu nitafute nikushaur
 
Sijawahi ona shujaa Wa kushindana na papuchi
So utachungulia kaburi dogi
 
Nina miaka 25 toka nina miaka 16 nimekuwa napenda sana kulala na malaya, kama pesa ipo huwa nawatafuta mpaka niwapate mpaka sasa nimelala na malaya si chini ya 150.

Nakumbuka mwaka jana sehemu flani hapa mbeya nililala na malaya watano kwa usiku mmoja, usiseme kuhusuUKIMWI sababu natumia condom na napima kila baada ya miezi mitatu, still negative.

Kinachonichanganya umri unaenda inanibidi kuoa na sijui nitaachaje sababu nawapenda sana na naenjoy, Mbalizi, Mbozi, Tunduma, Njombe, Makambako, Mafinga, Iringa, Songea, Singida, Dar ndo usiseme nimepita viwanja vyote! Huwa sichoki kufanya mapenzi.


"Basi matendo ya mwili ni dhahiri nayo ni haya: Uasherati, uchafu, ufisadi, kuabudu sanamu, uchawi, uadui, ugomvi, wivu, hasira, fitina, faraka, uzushi, husuda, ulevi, ulafi na mambo mengine yanayofanana na hayo. Nawaonya, kama nilivyokwisha kuwaonya kabla, kwamba watu watendao mambo kama hayo, hawataurithi Ufalme wa Mungu." Wagalatia 5:19-21
 
aisee dar ndo ucxeme wapo karibu maeneo yote jaribu kupita pita kwenye maeneo ya starehe ila uwanja wa fisi ucende wale cheap xana, may b jaribu pale mk pub kinondoni, ukishindwa niambie niku2mie namba ya malaya zangu wawili wa huko!

nitumie hapa hapa niende nikawafukuze hawana adabu kabisa.....!!!!!
 
Back
Top Bottom