Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
KabisaWapewe maua yao haha
😂😂 dahtatizo ukiwafuta pm hawaitiki hata salamu utafikiri unaomba figo
Ahsante kwa salamu totoo.. nami nakutakia jioni tulivu, imalizie jioni yako na kikombe cha chai yenye tangawizi 💗💗Nawapenda sana na nawatakieni jioni njema wadada wa Jamiiforums mtag mdada unaempenda na unae mkubali sana mimi nawakubali hawa👇👇 FaizaFoxy
Kasie
Dr Lizzy
Depal dada yangu
Jadda
Kalpana
Unique Flower
Heaven Sent
Mamndenyi
lara 1
miss Gf
Caroline Danzi
AshaDii
Antonnia
cocochanel
miss chagga
Asanteee sana mkuu jioni njema piaNawapenda sana na nawatakieni jioni njema wadada wa Jamiiforums mtag mdada unaempenda na unae mkubali sana mimi nawakubali hawa👇👇 FaizaFoxy
Kasie
Dr Lizzy
Depal dada yangu
Jadda
Kalpana
Unique Flower
Heaven Sent
Mamndenyi
lara 1
miss Gf
Caroline Danzi
AshaDii
Antonnia
cocochanel
miss chagga
Ukirudi uje na peps baridi Koo limekauka
🤣Ahsante kwa salamu totoo.. nami nakutakia jioni tulivu, imalizie jioni yako na kikombe cha chai yenye tangawizi 💗💗
Pole kwa heka heka za kutwa..
Kuwapenda pasipo kuwatumia miamara ni uvulana ndugu.Nawapenda sana na nawatakieni jioni njema wadada wa Jamiiforums
Sio kweli🤣🤣Tatizo wengine vidume humu wanaotembelea upepo wa kujifanya mademu.
Unaweza kuta mmoja wa uliemtag hapo ndio dereva wako wa bodaboda ana account ya kike humu.
Nili sahau kaka
Usirudie haya makosaNili sahau kaka
Shauri yako. Utashangaa unaehisi ndio pisi kuliko wote kumbe ni Majanaba wa Arusha.Sio kweli🤣🤣