Riskytaker
JF-Expert Member
- Mar 14, 2024
- 568
- 2,522
kwa ninayo yaona mtandaoni na maisha ya uswahilini nmeogopa kua na watoto wa kike nahisi watakuja kunidissapoint .
this generation sucks lna inaleta disappointment sana kuona blunders zinazofanywa na this gender
humo telegram na WhatsApp pamejaa magroup ya watoto wakike wadogo kiumri wanajiuza, wanafanya mapenz kinyume,yani vitu vya ajabu.
now days pamezuka clips ambazo zinaoenesha wanafunzi wakiwa kwenye sare wanafanya twerking kama wanafunz wa south Africa.
nilitamani sana kua na generation kama ya china
china inawatu sawa na bara nzima la africa lakini imewadhibiti wote wamenyooka .
😃😃😃😃😃 Kwamba mtoto wa kiume atakuwa jambazi.Kwa taarifa Yako, huko tunakoelekea, hofu kubwa itakua malezi ya mtoto wa kiume.
Huyo wa form 2 kuna uwezekano mkubwa atakuwa ameanza kuchezea pipe namaanisha PAIPU.Pole sana mkuu. Hata mimi nina watoto (4) wa kike
Wa kwanza yupo form 2
Kila nikiwaza kuna njemba zitakuja kuwapiga pipe. Nakosa amani kabisa
Si Bora awe jambazi akifanikiwa anasavaivu, akikamatwa anafungwa au kuuwawa. Akiolewa je? Usifanye masihara!😃😃😃😃😃 Kwamba mtoto wa kiume atakuwa jambazi.
Unampeleka wapi sasa kama sio fedheha? Wakike akija na ujauzito tutalea mjukuu bila hiyana.Watoto wa kiume je na ushoga?
Imagine kijana anakuletea mchumba wa kiume...Napenda mtoto wa kiume, na mtoto wangu wa kwanza natamani awe wa kiume, ila nikifikiria malezi ya mtoto wa kiume yalivyo magumu nyakati hizi nachoka kabisa…!!
Fedheha kubwa. Nikiwaza hili nahairisha hadi kuzaaUnampeleka wapi sasa kama sio fedheha? Wakike akija na ujauzito tutalea mjukuu bila hiyana.
Inaumiza unaweza ukajiua uondoke kwenye uso wa dunia.!!Imagine kijana anakuletea mchumba wa kiume...