Siyajui mambo haya MkuuMgeni wa Jiji hahaha umefikia wapi hahahaha, jina lako limenifurahisha utadhani mgeni kweli
Umenidindisha Si Mchezo
Huwezi elewa hizo mbanga za buza 😂@braza chogoUsafi!
Mimi Sitambui Hilo Yeye Ajue Amenidindisha Si MchezoUnajua jinsia yake huyu au unadinda 😂..... Kaaazii kweli kweli
Ok ndege wafananao huruka kwa pamojaMimi Sitambui Hilo Yeye Ajue Amenidindisha Si Mchezo
Yote Kheri TuOk ndege wafananao huruka kwa pamoja
Nakubali bossYote Kheri Tu
✊✊Nakubali boss
nawapenda walevi jaman wanaojua kula vitu vitamu kwa usafi wake😢Nawasalimu rafiki, nawapenda walevi jaman wanaojua kula vitu vitamu kwa usafi wake. Ni hilo tu, tufanyeni kazi tukutane jioni japo tupige story mbili tatu maeneo ya Shoppers tunywe kahawa nitalipa bill mimi kwa mtu mmoja, ni karibu na maeneo ya Morena wenyeji mtaelewa