Nawapenda walevi mafisi yaan walaji vitu vitamu

Nawapenda walevi mafisi yaan walaji vitu vitamu

Acha kukariri na wewe, mpenzi haimaanishi mtu mnaeshiriki tendo la ndoa, sijui unaelea? Hujawahi kuandika barua ya kazi ukaandika dear sir/madam? Inamaana huyo sir na madam ni wapenzi wako? Kwanza uko darasa la ngapi? Yawezekana naongea na mtu mwenye upeo mdogo, mtu akisema hivyo maana yake ameshimu ulichoandika
sio kuchambwa huku! Nakuelewa vyema mkuu Ila ni kueleweshana kha tunda zuuh Lamomy njoo uchukue ndg yako hapa
 
Back
Top Bottom