Nawapenda walevi mafisi yaan walaji vitu vitamu

Nawapenda walevi mafisi yaan walaji vitu vitamu

Wk end
Utakunywa nini boss!
Wk end nitakunywa red wine ili nilegee vzr, unajua red wines zinaleta genye jaman, ndio kinywaji changu cha ijumaa kwa kweli, Jumamosi nakunywa vingine, Jumapili nakunywa Juice na wine kidogo au soda, sitaki na sipendi kuingia kzn na hang over
 
Sijasema unajiuza tunda zuuuh Ila btms wengi ndo walivyo!!

Nna maswali na wewe
Unajua bottoms wengi ni kwa sababu ya njaa njaa, natamanig wasome wajitume wawe na maisha yao lakini wawe na usiri kwenye mambo yao na si kutaka kuonyesha jamii wanafanya nn ingawa jamii hiyohiyo inafanya hivyo so kila mtu na mambo yake moyoni ili mradi usikele mtu. Zaidi ya yote kuishi kwa upendo. Asilimia kubwa ya bottoms wanaupendo sema kuna wale wa uswahilini yaan mtu anakula mkorogo hadi kwenye meno hata mvuto wa muonekano kwa maana ya ngozi anakosa na hata mtu anaogopa kuongozana nae so kila mtu afanye mambo yake kwa starehe
 
Unajua bottoms wengi ni kwa sababu ya njaa njaa, natamanig wasome wajitume wawe na maisha yao lakini wawe na usiri kwenye mambo yao na si kutaka kuonyesha jamii wanafanya nn ingawa jamii hiyohiyo inafanya hivyo so kila mtu na mambo yake moyoni ili mradi usikele mtu. Zaidi ya yote kuishi kwa upendo. Asilimia kubwa ya bottoms wanaupendo sema kuna wale wa uswahilini yaan mtu anakula mkorogo hadi kwenye meno hata mvuto wa muonekano kwa maana ya ngozi anakosa na hata mtu anaogopa kuongozana nae so kila mtu afanye mambo yake kwa starehe
Ok nakuelewa vyema Ila hapo kwenye maswali bdo hunijibu
 
Mpenzi Tena ? Mm mshkj bhn usiniite mpenz hiyo achia dada zetu

Tumia mwamba, mwanangu, mkuu, kiongozi 👊
Acha kukariri na wewe, mpenzi haimaanishi mtu mnaeshiriki tendo la ndoa, sijui unaelea? Hujawahi kuandika barua ya kazi ukaandika dear sir/madam? Inamaana huyo sir na madam ni wapenzi wako? Kwanza uko darasa la ngapi? Yawezekana naongea na mtu mwenye upeo mdogo, mtu akisema hivyo maana yake ameshimu ulichoandika
 
Back
Top Bottom